Mi nadhani viongozi safi ni wale ambao hawapo kusikika ktk makundi hao kn Edo...na pinda tayari iwe disqualification kuna watu wengi nchii wanaweza kuiongoza na ni maskini hawana fedha za kugawana.
nguruwe ni mfagio unaotembea anakula chochote tu hafai kuliwa.
Hivi mnamaana Yesu aliharibu mboga za watu kwa kuzruhusia mapepo yaingue nguruwe?
afu wewe unae quote "si kitu kimuingiacho..kimtiacho unajisi bali kimtokacho..." hujaelewa concept hapo ndo mn unashabikia hii kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.