Habar zenu wadau...naomba mnisaidie shule za boarding a level either mixed au za girls tupu ambazo ada zake ni nafuu (yaan ada isiyozd 2.5 m au 3m)
NB:mlengwa wa hyo shule ni dgo wa kike ana div 3.23 na ana credits za Histry,language,kiswahili na bios(masomo mengne ana d flat) na angependa...
niaje asee...hivi taratib za kununua vi2 ebay au amazon na kuweka adress za chuo ili bidhaa yako waifikishe hapo(e.g udsm,ardhi etc) ni salama?na unaweza ukaipata bidhaa yako kweli au ni uduwanz tuuu?maana icije ikawa nshaliwa ela aseee
wengne husema ni kwa sabab wanawake wasomj hawajui mapenz maana wamespend part kubwa ya maisha yao kutafta excellence ya kimasomo na kuacha aspect zngne za kimaisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.