Recent content by ABIUD SIMTALLA

  1. ABIUD SIMTALLA

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Umeongea kwa uchungu sana😥😥😁
  2. ABIUD SIMTALLA

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Likifika VIRAL huenda tume ya Ajira na utumishi kwa Umma wakarekebisha suala la kuchelewesha sana kuita watu kazini ili kudumisha amani mioyoni mwa ma-jobseeker
  3. ABIUD SIMTALLA

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hivi mstakabali wa azimio la Waziri wa Nchi Utumishi na Utawala Bora Jenister Mhagama ukoje kwa anaejua msaada kwenye tuta??
  4. ABIUD SIMTALLA

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mimi nadhani, kwa watu ambao wamefanya usaili wa mazungumzo yaani oral interview suala la subira na ukomavu wa akili hasa kusubiria majibu linatakiwa sana maana apangae maisha ni mwenyezi Mungu unaweza ukadhamiria sana kazi kwa kuhusisha muonekano wa status majibu yakatoka ukapata matatizo...
  5. ABIUD SIMTALLA

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    😀😀Vijana tupo kasi sana. Ila maisha ni magumu huku private tunanyanyaswa mno wacha status zituue tu
  6. ABIUD SIMTALLA

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hatari lakini salama,, unadhani aliyeandikiwa not selected for null in red color anajisikiaje😂😂😂
  7. ABIUD SIMTALLA

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Yaani mchawi pdf ila kuna uafadhali ikiwa selected for null.. maana ni wengi ninaowajua iliandika ivo na wakapata kazi wachache walikosa na nikutokana na ufinyu wa nafasi walizofanya oral interview
  8. ABIUD SIMTALLA

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    😂😂😂😂Angalia usichanganyikiwe,,, relax mema yanakuja
  9. ABIUD SIMTALLA

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Possibly lakin haina maana nimepata kazi mana database hakuna ajuaye
  10. ABIUD SIMTALLA

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    It doesn't guarantee you to be happier on placement. Glorify your lord God and pray harder
  11. ABIUD SIMTALLA

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mimi ilikuwa hivyo na sikupata Selected for Null but in pdf not listed my name..... Its so Sad and painful
  12. ABIUD SIMTALLA

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sio guarantee kuwa ukiandikiwa selected for null (green label) kuwa lazima umepata kazi watu wapo wameandikiwa hivo na hawakupata kazi, nafasi zile za airport security officer II ninao ushahidi watu walijiandaa kabisa kwenda Dodoma na kujipa moyo lakini PDF imetoka,,, Hollaaaah!! 😭
  13. ABIUD SIMTALLA

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Selected for oral inanguvu zaidi hasa ya website maana inakupa foresight ya interview (selected for null ya application ni moderator wa kile ulichokifanya oral interview maana inakutia moyo kabla placement haijawekwa hadharani) kwahiyo kuwa mpole yote kwa yote muombe sana Mungu wako kwa imani yako
Back
Top Bottom