Aliyetoa hii post akajipange kwa Upya bado hawezi kutuaminisha Uongo maana na sisi hii maswala tunafuatilia kiundani, kuna vitu vingi ccm wamefanya sio hivo tu. Na Hakuna wa kumdanganya, acha kuiga Sera za Nape wewe.
Nimeipenda somo hii ya driving, barikiwa Sana. Kungekuwa na jamii-pesa ningekucheki. Ila baraka za kuokoa familia na maisha ya watu ni zaidi ya pesa. Shukrani Sana maana ya nimesha experience hii kitu
Yaani kutiririka kote huko wala hujaigusa nafsi yangu, kwani mtoto wa Warioba ni nani?? Anaangalia panapomfaa yeye. Huna tofauti na anaeshangaa mtoto wa waziri kupata 0 au 4. Kuwa kifikra
Yaani huyu #bombay ndo kichwa bichwa kabisa maana ya PAC ni nini au auditing maana kumbuka Zitto mwenyewe kazi yake ilikuwa kucheki matumizi. Sasa huyu mwanaharakati kafanya vizuri ni lazima tufanye overview ya hesabu yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.