Wanakaba ni jamii ya wamakonde ambao wanaishi kandokando na bahari ya Hindi wakiwa na utofauti kidogo wa lugha na wamakonde wa bara kwani wao maneno mengi uchanganya na maneno ya kiswahili &kiarabu kutokana na muingiliano na wageni toka nje ya Afrika mashariki.
Wamakaba wanapatikana sana maeneo...
Mke wangu anatatizo la kukosa hedhi kwa muda mrefu yaani uchukua miezi 3 Hadi minne na akianza kupata tumbo chini ya kitovu lina muuma kupita kiasi na wakati mwingine hedhi yake uambatana na mabonge na damu nyeusi nimejaribu kwenda hospital kadhaa lakini tatizo halijapatiwa ufumbuzi huu ni mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.