Habar ecolizer baba, umefikisha ujumbe lakini c vizur kutumia neno Yono wanatudhulumu kama ukiwa hauna uhakika na jambo unalotuhumu, malipo bado mpaka sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mr Frank. Punguza jazba jifunze kusikiliza/somo mada vizur kisha chingia. Aliyeleta mada hii humu ndan nimemjibu kwakua nimehisi hana uhakika na kile alichokiandika. Narudia tena Yono hatujawah kukamata pikipiki kama mdau alivyoandika na ww kuendelea kuchangia jambo ambalo si la kwel. Embu...
Habar mkuu.. Naamin ww ni mtu makin sana mpaka ukaandika ujumbe huu ila ni vizur kufunya utafit vizur kabla hujaweka jambo kama hili kwenye social media. Ujumbe huu unapotosha umma na kuchafua majina ya watu. Yono hajawah kufanya kaz hiyo ila kuna watu wanatumia jina la Yono kufanya mambo ya...
Wadau mnaoponda..mnatakiwa kutoa hata kasoro mnazoona zinaweza kuwa changamoto kwa Mbunge wetu mtarajiwa Mh.Mbuza, ili Mh. ajipange siyo maneno ya kukatisha tamaa..Imani yangu inanituma MH. Mtarajiwa anauwezo tena kuliko hata ww unayepost pumba bila lion yeah a mchango wowote..let's be optimist...
Jaman kwa mawazo yangu nafkir tusiwe na mawazo mgando..kila kiongoz anafaa kwa muda wake that means Mh. Lowassa nafkir anafaa kwa kipind tunacho kiingia..ni mawazo yangu naomba msinitafakar vibaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.