Hongera kwa kufanya maamuzi ya kuwa mtangazaji, sipendi kujua zaidi malengo yako kama wengine wanavyosema unataka kwa maslahi ofcourse siyo mbaya kama utataka kwa ajili ya maslahi ila nakushauri kutafuta vyuo vinavyotoa mafunzo hayo ili kufanikisha ndoto yako. kwa more information unaweza...
Acha kuseme eti waafrika ndivyo tulivyo inamaana na wewe uko hivyo wengine hatuko hivyo huyo waziri hakuwa na mengi ya kusema akaamua kutumia muda mwingi tu pengine alitaka kukwepa maswali kutoka kwa wabunge hasa yale ya kuhusu bajaji za kubebea mama zetu wajawazito kama lilivyokuwa hot siku hiyo.
Reserching is better inaweza kukupa walau kapicha lakini hii ya kufikiri tu si sahihi sana na vijana wengi wa tanzania ni washabiki tu tena wa muda mfupi sio committed sana kama mataifa mengine that is why tunachelewa kuleta mabadiliko. thank you for dedication time spared on it.
Hilo suala kwa sasa linaongezeka kwa kasi mno pengine ni kwasababu watu wengi wanakimbia kwenye dini kwa ajili ya mambo yao binafsi kama vile kutaka pesa, sifa au kinga katika mambo fulani fulani kwa serikali na umma hasa ya waumini wake na si wito kama inavyopasa kuwa. Kuna haja ya serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.