Kwa kawaida binadamu hutoa uchafu kwa njia ya mdomo (Kupumua), kwa njia ya haja kubwa (Konya ama kujamba), kwa njia ya vinyweleo (Jasho) na kwa njia ya haja ndogo (Kukojoa).
.
.
What if anatokea kiumbe anayetumia kila njia kuzuia binadamu huyu asitoe uchafu kwa njia yeyote?
.
.
Pua tumezitia...
1.Una muda gani tokea uache kazi? Kama ni zaidi ya siku 30 unahitaji kufungia kesi kwa msingi wa dharura ukiwa na ushahidi.
2. Je una mkataba? Unasemaje kuhusu kuvunja mkataba?
3. Je kulikuwa na chama cha wafanyakazi na je kilishakubaliana na Mwajiri kuhusu kucheleweshwa kwa mishahara?
4. Una...
Kwenye nyumba za kupanga za jumuiya kuna mengi sana na hakika huwezi kuyatatua kwa amani. Suluhisho ni kupanga nyumba inayojitegemea ama kuishi nyumbani kwako mwenyewe!
Utakuja kufa kwa pressure na sukari kwa sababu ya tabia za watu na dunia tayari ni tambara bovu.
Rafiki yangu mmoja yupo jela baada ya kuhukumiwa miaka 30 tokea 2020. Alinunua simu ambayo baada tu ya kuanza kuitumia ilikuja kufahamika iliporwa pamoja na vitu vingine na wakati wa uporaji mwenye mali alipigwa na kufariki wiki moja baadae.
Bahati mbaya sana hakumfahamu vyema aliyemuuzia maana...
Mkuu, unaweza kunipa namba za huyu mzazi nimpongeze kwa hatua aliyochukua?
1. Miaka 48 unataka kustaafia kwenye nyumba ya baba, huu ni upumbavu;
2. Hata wanyama na ndege hufukuza watoto/makinda yao yanapofikia umri wa kujitegemea;
3. Rudi mtaani ukapambane
Tunavuna ''mavuno" yatokanayo na mbegu tulizopanda enzi hizi za kidigitali. Kizazi hiki kimedekezwa vya kutosha na wazazi hasa wale waliolelewa na "House girls" na "Single mothers". Enzi zetu huyu angekula kipigo kitakatifu na akitudi ni kipigo cha jehanamu
Kwa maoni yangu nauli za daladala na mwendokasi ziwe flat rate tu. Maana hawana adabu. Mtu mzima unapanda unakosa siti mwanafunzi amekaa amekukazia macho tu. What for?
Jina langu linatosha kukueleza nini ndugu walinifanyia kwa mujibu wa Biblia Takatifu. Kumbuka tu Kaini alimuua ndugu yake Abel kutokana na wivu. Sadaka ya Abel ilikubalika na ya Kaini ikakataliwa. Kwa ufupi maisha kwangu yamekuwa ya misukosuko kutoka kwa ndugu wa karibu.
Ifike wakati sasa tujue Dar es Salaam imeendelea sana ukilinganisha na miaka 20 iliyopita. Hivyo wageni wanapokuja Dar es Salaam wapewe semina na wanafamilia jinsi ya kutumia barabara za juu na chini na namna ya kuvuka maeneo ya barabara za Mwendokasi. Ni lazima tubadilike kulingana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.