Nimejipanga kumshitaki Mwajiri wangu CMA

AccomplishedEntrepreneur

JF-Expert Member
Feb 25, 2020
497
861
Mimi nilikuwa mwajiriwa private sector ila mwajiri hakulipa mshahara kwa miezi mitatu mfululizo nikaamua kutoka pale

Katika barua yangu ya kutoka pale sikusema kama najiuzulu maana kikanuni mkataba ulivunjika muda alipoacha kulipa mshahara mmoja tu achilia mbali miezi mitatu mfululizo.

Nilimpa sharti moja tu kwamba anipe papers kwa ajili ya kufuatilia mafao NSSF ila akakaidi.

Kwahiyo najipanga kumshitaki CMA maana nimejaribu njia za kimaridhiano ila yeye anakuwa mkaidi tu.
Madai yangu
1. Mimi sikujiuzulu mwajiri ndie alikiuka mkataba
2. Nahitaji Termination letter

Wataalamu naomba mnishauri :
1. Nafasi niliyonayo kushinda kesi CMA
2. Kuna uwezekano kesi ikabackfire?
 
You're almost in the right track. Sema hao CMA wakati fulani ni miyeyusho balaa maana huwa wana tabia ya kuchukua maokoto kutoka kwa mwajiri. Mwaka fulani tulienda kwao yaani kabla hatujamfikishia tapeli(mwajiri) wetu summons akawa tayari na taarifa. Kwa ujeuri akatumia ujumbe kuwa tusikanyage kwenye eneo lake 🤣🤣
 
Hii namba 1. Uliyoandika inaitaji kusikiliza upande wa pili, mitazamo na namna unayotaka wewe haiwi hivyo, face the facts, najua kuna ukweli unauficha.
 
Mimi nilikuwa mwajiriwa private sector ila mwajiri hakulipa mshahara kwa miezi mitatu mfululizo nikaamua kutoka pale

Katika barua yangu ya kutoka pale sikusema kama najiuzuru maana kikanuni mkataba ulivunjika muda alipoacha kulipa mshahara mmoja tu achilia mbali miezi mitatu mfululizo.

Nilimpa sharti moja tu kwamba anipe papers kwa ajiri ya kufuatilia mafao NSSF ila akakaidi.

Kwahiyo najipanga kumshitaki CMA maana nimejaribu njia za kimaridhiano ila yeye anakuwa mkaidi tu.
Madai yangu
1. Mimi sikujizulu mwajiri ndie alikiuka mkataba
2. Naitaji Termination letter

Wataalamu naomba mnishauri :
1. Nafasi niliyonayo kushinda kesi CMA
2. Kuna uwezekano kesi ikabackfire?
Kujiuzulu; ajili r&l
 
  • Una contract?
  • mshahara ulikuwa unalipwa kwa account au dirishan (kibahasha)
  • ulipewa barua ya kuachishwa kazi?
  • kulikua na sababu zozote ulipewa kuhusu kwann mshahara ulisimama?
1. Contract ipo.✅
2. Kwa account.
3. Sikupewa barua ya kuachishwa kazi na ndiyo naitaka. Yeye alinipa barua ya "kuacha kazi" na mimi naona sikuacha kazi maana alipo breach contract yeye ndo alizingua so mimi kuomba kutoka EXIT pale in writing sio resignation hiyo au unasemaje mkuu?
4. Hapana hakutoa sababu yoyote iwe kwa mdomo au maandishi
 
1. Contract ipo.✅
2. Kwa account.
3. Sikupewa barua ya kuachishwa kazi na ndiyo naitaka. Yeye alinipa barua ya "kuacha kazi" na mimi naona sikuacha kazi maana alipo breach contract yeye ndo alizingua so mimi kuomba kutoka EXIT pale in writing sio resignation hiyo au unasemaje mkuu?
4. Hapana hakutoa sababu yoyote iwe kwa mdomo au maandishi
Hapo sasa mi naona kama wewe bado mfanya kazi wake unless contract imebainisha waz kwamba usipolpwa miez kadhaa mkataba unatamatika au usipoonekana kazin kwa kipind fulan mkataba unavunjika.

Kama sivyo naona kama yeye ndio atakuwa kwenye upper hand maana atasema hajakufukuza kazi. Na anaweza sema oia hajakunyima mshahara isipokuwa ni sababu za kibiashara kuyumba kwa income maana hii ni sababu inaweza ikamlinda.

Labda ukamshtaki kwa kutolukulipa na hakupi maelezo kias kwamba aamekuacha dilema.

Lakin angalizo nalilona hapo, na yeye anaweza kutumia mpenyo kukushtaki kwamba ume ABSCOND kazini, umekuwa mtoro kwa kutokuja kazin bila kupewa go ahead.


Sijui lakin, huu ni mtazamo wangu. Nimefanya kaz kwenye hiv vitaasis binafsi kwa miaka 8 hiki ndio naweza kukushauri..

Labda tuwasikie wadau wengine wanasemaje
 
Hapo sasa mi naona kama wewe bado mfanya kazi wake unless contract imebainisha waz kwamba usipolpwa miez kadhaa mkataba unatamatika au usipoonekana kazin kwa kipind fulan mkataba unavunjika.

Kama sivyo naona kama yeye ndio atakuwa kwenye upper hand maana atasema hajakufukuza kazi. Na anaweza sema oia hajakunyima mshahara isipokuwa ni sababu za kibiashara kuyumba kwa income maana hii ni sababu inaweza ikamlinda.

Labda ukamshtaki kwa kutolukulipa na hakupi maelezo kias kwamba aamekuacha dilema.

Lakin angalizo nalilona hapo, na yeye anaweza kutumia mpenyo kukushtaki kwamba ume ABSCOND kazini, umekuwa mtoro kwa kutokuja kazin bila kupewa go ahead.


Sijui lakin, huu ni mtazamo wangu. Nimefanya kaz kwenye hiv vitaasis binafsi kwa miaka 8 hiki ndio naweza kukushauri..

Labda tuwasikie wadau wengine wanasemaje
Suppose akiwa na upper hand na akikushtaki hivyo possible penalties/adhabu ni ipi?
 
Mimi nilikuwa mwajiriwa private sector ila mwajiri hakulipa mshahara kwa miezi mitatu mfululizo nikaamua kutoka pale

Katika barua yangu ya kutoka pale sikusema kama najiuzulu maana kikanuni mkataba ulivunjika muda alipoacha kulipa mshahara mmoja tu achilia mbali miezi mitatu mfululizo.

Nilimpa sharti moja tu kwamba anipe papers kwa ajili ya kufuatilia mafao NSSF ila akakaidi.

Kwahiyo najipanga kumshitaki CMA maana nimejaribu njia za kimaridhiano ila yeye anakuwa mkaidi tu.
Madai yangu
1. Mimi sikujiuzulu mwajiri ndie alikiuka mkataba
2. Nahitaji Termination letter

Wataalamu naomba mnishauri :
1. Nafasi niliyonayo kushinda kesi CMA
2. Kuna uwezekano kesi ikabackfire?
1.Una muda gani tokea uache kazi? Kama ni zaidi ya siku 30 unahitaji kufungia kesi kwa msingi wa dharura ukiwa na ushahidi.
2. Je una mkataba? Unasemaje kuhusu kuvunja mkataba?
3. Je kulikuwa na chama cha wafanyakazi na je kilishakubaliana na Mwajiri kuhusu kucheleweshwa kwa mishahara?
4. Una uhakika mwajiri hakukufungulia shauri la kinidhamu kuwa umetoroka ofisini na kuisababishia hasara Kampuni?
 
Nilishawahi kukutwa na tatizo kama lako zamani wakati nimeajiliwa....!

Boss Mzungu kanimwaga kwa Maneno, mimi nikaenda kwa HR ili anipe Barua ya kufukuzwa Kazi ili nikawashtaki, HR hataki kunipa!

HR ananambia wewe rudi nyumbani tutakupigia Simu.... Nikaona hawa Wananifanya mimi kama Zuzu, nlichofanya nikawa naenda Ku sign asubuhi then naondoka zangu, nimefanya hivyo kama week nzima, then kuna siku jioni wananipigia simu kesho yake nirudi Kazini....!
 
Kwenye barua yako ya kutoka uliandika sababu zipi?

Asije kushikilia kwamba ulijiuzulu hivyo wewe ndiye unapaswa kuilipa kampuni.
 
Mimi nilikuwa mwajiriwa private sector ila mwajiri hakulipa mshahara kwa miezi mitatu mfululizo nikaamua kutoka pale

Katika barua yangu ya kutoka pale sikusema kama najiuzulu maana kikanuni mkataba ulivunjika muda alipoacha kulipa mshahara mmoja tu achilia mbali miezi mitatu mfululizo.

Nilimpa sharti moja tu kwamba anipe papers kwa ajili ya kufuatilia mafao NSSF ila akakaidi.

Kwahiyo najipanga kumshitaki CMA maana nimejaribu njia za kimaridhiano ila yeye anakuwa mkaidi tu.
Madai yangu
1. Mimi sikujiuzulu mwajiri ndie alikiuka mkataba
2. Nahitaji Termination letter

Wataalamu naomba mnishauri :
1. Nafasi niliyonayo kushinda kesi CMA
2. Kuna uwezekano kesi ikabackfire?
NI kweli mmeshindwa kuongea na kukubaliana kulimaliza hili Bila kufikishana mahakamani?

Kuna taarifa unazificha.
 
Mimi nilikuwa mwajiriwa private sector ila mwajiri hakulipa mshahara kwa miezi mitatu mfululizo nikaamua kutoka pale

Katika barua yangu ya kutoka pale sikusema kama najiuzulu maana kikanuni mkataba ulivunjika muda alipoacha kulipa mshahara mmoja tu achilia mbali miezi mitatu mfululizo.

Nilimpa sharti moja tu kwamba anipe papers kwa ajili ya kufuatilia mafao NSSF ila akakaidi.

Kwahiyo najipanga kumshitaki CMA maana nimejaribu njia za kimaridhiano ila yeye anakuwa mkaidi tu.
Madai yangu
1. Mimi sikujiuzulu mwajiri ndie alikiuka mkataba
2. Nahitaji Termination letter

Wataalamu naomba mnishauri :
1. Nafasi niliyonayo kushinda kesi CMA
2. Kuna uwezekano kesi ikabackfire?
Kwenda CMA ni hatua sahihi kabisa. Na wala sio kwamba ukienda CMA maana yake umeenda kushtaki, a big no..!! Kazi kubwa ya CMA sio ya kimahakama, bali kusuluhisha migogoro ya kikazi kati ya waajiri na waajiriwa kwa wao kuwa kama mediators. Wao wanakua neutral, wanawasikiliza wote wawili, kisha kulingana na namna mlivyojieleza, wanashauri kuwa kwa hili suala kifanyike 1, 2, 3. Mkifikia hatua ya kukubaliana, basi kinafanyika kile mlichokubaliana kufanyika, mgogoro unakua umeisha. Lakini, ikitokea upande mmoja haujaridhika na USHAURI wa CMA, then huo upande unakua na haki ya kwenda mahakamani sasa ili kupata suluhisho la kimahakama, hapo ndio huo upande unakua umeshtaki. Hivyo ndugu, nenda tu CMA, watawasuluhisha vizuri na kujaribu kuja na ushauri ambao utawafaa wote. KUMBUKA, KWENDA CMA SIO KUSHTAKI, hivyo usiwe na wasiwasi kabisa. AccomplishedEntrepreneur
 
Mimi nilikuwa mwajiriwa private sector ila mwajiri hakulipa mshahara kwa miezi mitatu mfululizo nikaamua kutoka pale

Katika barua yangu ya kutoka pale sikusema kama najiuzulu maana kikanuni mkataba ulivunjika muda alipoacha kulipa mshahara mmoja tu achilia mbali miezi mitatu mfululizo.

Nilimpa sharti moja tu kwamba anipe papers kwa ajili ya kufuatilia mafao NSSF ila akakaidi.

Kwahiyo najipanga kumshitaki CMA maana nimejaribu njia za kimaridhiano ila yeye anakuwa mkaidi tu.
Madai yangu
1. Mimi sikujiuzulu mwajiri ndie alikiuka mkataba
2. Nahitaji Termination letter

Wataalamu naomba mnishauri :
1. Nafasi niliyonayo kushinda kesi CMA
2. Kuna uwezekano kesi ikabackfire?
Kesi ya ajira huwa haina kuback fire kwamba ukishindwa labda atakudai fidia haina hicho. Mimi siyo mwanasheria ila nina uzoefu kidogo kwamba mwajiri anaposhindwa kutekeleza majukumu ya kimkataba hata ukiacha kazi hiyo huwa inahesabika ni Unifair termination. Issue inakuja kwenye kipindi au muda wa kufungua madai tangu mgogoro ulipojitokeza. Manake ulipaswa kuwa umerpoti mgogoro wako CMA ndani ya siku 30 tangu kuzuka.

Manake ni nini wewe unasema ulikuwa na miezi mitatu bila kupata mshahara, hii tafsiri yake ni kwamba hizo tayari ni siku 90 na sijui tangu muda huo umekaa muda gani.

Naona kesi yako inaweza kutupiliwa mbali, ila jaribu kwanza hatua ya kwanza ya Mediation ambayo hii mtaitwa wote mbele ya mshauri na mtasikilizwa na anaweza kuamua kukulipa kidogo hii hatua ambayo haiusishi sheria bali maridhiano. Ikishindikana hapo utaenda hatua ya pili inayoitwa Arbitrition hapa sasa ni sheria na hakimu ndiye muamuzi hapa ndo mziki ulipo. Na waajiri wengi huwa hawataki kushindwa hii hatua hivo badala ya kukupa wewe haki yako yuko tayari kumuhonga hakimu ili kutotoa mwanya na kuwavunja nguvu wafanyakazi wengine na aendelee kuwa minya.
 
Nilishawahi kukutwa na tatizo kama lako zamani wakati nimeajiliwa....!

Boss Mzungu kanimwaga kwa Maneno, mimi nikaenda kwa HR ili anipe Barua ya kufukuzwa Kazi ili nikawashtaki, HR hataki kunipa!

HR ananambia wewe rudi nyumbani tutakupigia Simu.... Nikaona hawa Wananifanya mimi kama Zuzu, nlichofanya nikawa naenda Ku sign asubuhi then naondoka zangu, nimefanya hivyo kama week nzima, then kuna siku jioni wananipigia simu kesho yake nirudi Kazini....!
Nimekupemda bure mkuu, you're never stupid. Hii ni tabia nzur sana kujifunza. Ka.a umeajiriwa hakikisha unassign attendees book
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom