SERIKALI IACHE KUFANYA MAIGIZO ISITUMIE SUALA LA UHAKIKI WA WATUMISHI HEWA KUPORA NA KUMINYA HAKI ZA WATUMISHI WA UMMA.
Natambua umhimu wa zoezi la uhakiki wa Watumishi hewa lakini ninachokipinga ni serikali kutumia sababu hii kupindisha haki za watumishi wa umma. Haingii akilini kila zoezi...
OMBI LANGU KWA MHESHIMIWA RAIS WETU DKT MAGUFULI KUHUSU MIKATABA MIBOVU YA MADINI.
Kwanza napenda kumpongeza sana Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa Dkt John Pombe Magufuli kwa kazi nzito na kubwa ya kufumua mfumo aliokuta na kutengeneza mfumo mpya unaoendana na matakwa yetu wananchi ya muda mrefu...
Haya ni maoni yangu binafsi kuhusu mpango mpya wa serikali wa kukabiliana na tatizo la uhaba wa walimu wa sayansi uliotangazwa na Suleiman Jaffo Naibu Waziri wa TAMISEMI.
Kwanza ninaomba watu waelewe ya kwamba Ualimu ni taaluma kama zilivyo taaluma zingine, hivyo basi ninawaomba sana wanasiasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.