Recent content by Abel Bryson Mtambuki

  1. Abel Bryson Mtambuki

    JamiiForums Tanzania Waislamu amkeni sasa, mtaala mpya wa elimu hauna nafasi ya kuwabeba kiujanja watoto wenu!

    Wameomba waondolewe Kodi ya tende
  2. Abel Bryson Mtambuki

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha kabendera ni hadithi za kufikirika na sio Facts, Serikali ipeleke Shitaka Mahakamani

    Sometimes it is better to keep quiet!
  3. Abel Bryson Mtambuki

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Ibrahimu alijenga kaabah?

    Tuanzie hapa. Ibraham wa Biblia ndiyo huyu wa Korani?
  4. Abel Bryson Mtambuki

    JamiiForums Tanzania Kanisa lilipiga vita umasikini, makanisa ya leo mbona tofauti sana?

    Nakushauri kabla ya kuandika mwone mchungaji ambaye ana uelewa wa kutosha wa theolojia atafsiri Hilo andiko. Kwa lugha ya kitheolojia huwa tunaita huko na kulishwa matango. Si afiki wanaofanya huduma kwa masilahi yao binafsi, ila Hilo andiko litumike vizuri. Lakini pia utafiti ufanyike vya...
  5. Abel Bryson Mtambuki

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Sokoine ndiye alibomoa uchumi wa nchi, na utawala wa sheria. Sioni chochote cha kumsifu, urathi wake uandikwe upya

    Hii Ni kweli, kukawa na kipindi Cha mikingamo redio Tanzania. Ila Ni waziri mkuu aliyependwa kuliko wote. Warioba ndiye aliyekuwa waziri wa sheria na mwanasheria mkuu wa Serikali, alichukua jukumu gani kwa sheria zile? Angejiuzulu ningemwelewa
  6. Abel Bryson Mtambuki

    JamiiForums Tanzania Kwanini historia anayosimulia Sheikh Mohammed Said haipingwi hadharani?

    Wewe Ni msomaji wa JF kweli? Maana nakumbuka watu wamempinga na kupongeza Sana. Kabla ya kuandika fanya uchunguzi kwanza
  7. Abel Bryson Mtambuki

    JamiiForums Tanzania Vijana mnapopata nafasi za kiuongozi kaeni mbali na rushwa na Ufisadi, Kuna siku majina yenu yatajadiliwa kama ilivyo leo kwa Kafulila

    Position ya Sasa yamkini inampa nafasi aonekana Kama mzalendo. More awe katibu mkuu we wizara anashikia kasma. Nafasi ya RC pia Hana access na fungu maana yeye si accounting officer. Ila kwa ajili utafiti uliofanya tunashukuru kwa uzalendo wake
  8. Abel Bryson Mtambuki

    JamiiForums Tanzania Nimepiga marufuku watoto wangu kwenda kanisani

    Nadhani umekuwa brain washed wewe!
  9. Abel Bryson Mtambuki

    JamiiForums Tanzania Kazi wanayofanya Gen Z nchini Kenya imetukuka. Mungu atawalipa soon. Gen Z Tanzania amkeni mjikomboe.

    Let us reason wise, Nairobi is business center, who much the country bis losing? Hao vijana sidhani Ni mtizamo sahihi kuufuata, Mtwara wkt wa gesi tuliona madhara yake, tusifike huko
  10. Abel Bryson Mtambuki

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza: Ujinga ni mtaji

    Ni kweli na pia Ni ujinga Kuomba ufadhali kuwafundisha watu elimu ya watu wazima kusoma, kuandika na kuhesabu (KKK)
  11. Abel Bryson Mtambuki

    JamiiForums Tanzania Makonda: Waziri akayekaa Robo Mwaka bila ripoti ya kazi atachukuliwa hatua

    Hili linafinyika Kila robo mwaka, hana uelewa huo?
Back
Top Bottom