Siku zilizopita niliweka tangazo kwamba nahtaj pata mwanamke ambae ni mwalimu
age:24-29yrs
Kabila lolote
Din awe mwislam
Rang mweupe wastan asiwe mtumia wa mkorogo
Elimu haimat sana
Lakn mpaka leo naona kimya nipo serias juu hlo
Na si kwamba kwa ajil ya kumchezea hapana ndoa ndio...
TUsiwe wanafk nan acye jua umuhmu wa polis nan asienda kutoa lalamiko la polis una ulala ndan na mchepuko kwa ajil ya polis uwepo wao achen mambo yasio na tija
Habari wana Jf,
Mim ni mgeni humu lakini naamini maisha hutafutwa popote na mke hutafutwa popote ilimradi kila mtu amkubali mwenzake na kumheshimu na kumthamini katika hali yeyote ya kimaisha.
Mim ni mwajiriwa serikalini nina elimu katika nyanja mbali mbali
1. Laboratory assintant
2. IT...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.