Pole sana kwa yaliyo kukuta mama,ndio maisha,hayakosi misukosuko kama bara bara tu,haikosi kona,mlima,mteremko,Ivyo basi muombe mungu ipasavyo atakusaidia kuondokewa na hayo matatizo,pia kumsamehe mumeo ni jambo la busara umeonyesha kuwajari wototo wako. furaha ya watoto kuwa na wazazi,Iv uko...