Hakuna amani itakayo ondoka bali itaongezeka kwa kua raia wamepata wanacho taka na siku zote amani huvunjwa na watawala na vyombo vya ulinzi na usalama kwa kisingizio cha uchochezi, lkn ukweli uukidhiri uongo hijitenga wa Zanzibari waachiwe na muache kuendeleza kauli ya lukuvi eti wa Zanzibari...
Lawama zote ziende kwa chama cha ccm na viongozi wake ambao ni waroho wa madaraka wanao taka wakae madarakani maisha tena kwa nguvu hata pale wasipo kubalika, matokeo yake ndo hayo wanabakia kufanya ujasusi kutaka kukifuta chama cha cuf kwa sababu ya kuipigania haki ya wa Zanzibari. Jee seif...
Sio vibaya mtu kwa Imani yake kukipenda anacho Kiamini hata sanam au punda wee amini tu lkn kuwafanya wengine wasifanye mikutano hata ya ndani wewe ni miongini mwa waja waovu hata upendwe na kadamnasi sio upendo wa kweli ni sawa na nidham ya woga tu
Ukweli Sasa ni zamu ya chinja chinja tu namie naamini kwa nini nyerere aliwanyima wasukuma kuongoza nchi kumbe ni kwa sababu hiyo, ni kweli nyerere alizuia demokrasia lakini alifanya vizuri kuwafanya wasukuma wasiwe Rais
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.