Jamani nilisoma habari hizi na kutaka kuzirai baada ya kuisoma, sikuamini kama maneno haya yametoka kinywani mwa kiongozi wa taifa ambalo lina ndoto ya utulivu milele. Hivi Mh. hajui kwamba wauaji wakubwa ni ccm wakiwatumia polisi? Kifo cha mwandishi Mwangosi kule Nyororo Mufindi hakukisikia...
Jamani kinachoonekana siyo mawaziri, ni Rais na wateule wake; wakurugenzi na makatibu wakuu wa wizara husika, kilichotakiwa ni Rais kuachia ngazi kwakuwa wateule wake waliwafanyia kiburi mawaziri na hakuwaajibisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.