Mbwa akikaribia kufa hasikii harufu ndiyo sawa na Buyobe sasa keshapoteza thamani ya stori zake za magumashi ameamua kuwa kama Mwamakula kutafuta uungwaji mkono kwa Kuinasibisha ACT na Chama tawala
Hoja ya kijinga kabisa hii kwani kama suala ni kuabudu si wafanye Ibada hiyo majumbani mwao waone kama watafuatwa?
Msando yupo Ubungo hao waumini wapo maeneo mbali mbali nchini na wamezuiwa je na huko ni nguvu ya Msando?
Kajifunzeni kumtafuta Mungu na utukufu wake badala ya kutafuta umaarufu...
Baba yake ni mjumbe Mkutano mkuu Wilaya, Dada yake Ulega ni katibu Malezi kata kupitia Jumuia ya wazazi na Mtoto wa dada yake ni Katibu wa UVCCM.
Mke wake anautaka Ubunge wa viti maalum Pwani akitokea Mkuranga na tayari ameshachukua fomu.
Yeye Mwenyewe Ulega anautakaa Ubunge wa Mkuranga na...
Sisi wakazi wa Chanika kwa sasa tunapata taabu Sana kwa barabara yetu Kutokea Kona ya Pugu kuelekea Chanika.
Barabara hii ilikuwa inaangaliwa mara kwa mara wakati Makamu wa Rais alipokuwa akipita mara kwa mara kwenda kuangalia familia yake.
Kwa sasa kiongozi huyo hapiti na hakuna matengenezo...
Juzi nilipost hapa namna akaunti binafsi ya Rais wa Zanzibar kwenye Chanel ya WhatsApp,inavyotoa taarifa yake kama na yeye anaripoti badala ya kueleza kile alichofanya
Baada ya hapo nimeona kuna mabadiliko makubwa na sasa akaunti inaripoti vizuri na msemaji anaona ni taarifa ya moja kwa moja...
Nimekuwa mfuatiliaji wa taarifa za viongozi wanazoweka katika kurasa zao binafsi za kwenye Chanel za WhatsApp.
Hizi kurasa ni mbali na zile zinazotangaza kazi rasmi za ofisi zao.
Naomba nitoe mfano wa kurasa hizo na baadhi ya viongozi kabla sijaeleza Makosa ninayokusudia yarekebishwe.
Kwenye...
Kwa maelezo ya mtu aliyeshuhudia tendo Hilo lilifanyika Kwa haraka na aliposogea kuhoji ndipo walipoondoka eneo Hilo na kuiacha pingu iliyokabidhiwa kituo Cha Polisi Magufuli.Aidha gari la watekaji limetambuliwa Kwa namba zake na walioshuhudia ni Landcruise Nyeupe Kwa sasa utaratibu wa kumjua...
Mwanasiasa Abdull Nondo wa Chama Cha ACT Wazalendo amechukuliwa asubuhi ya Leo na wati waliomvamia akiwa kituo Cha basi Mbezi.
Katika purukushani hiyo wahusika walidondosha pingu na sasa hatma yake haijulikani mpaka wakati huu
====
UPDATE
JamiiForums imewasiliana na Naibu Katibu wa Habari na...
Waziri Mkuu Narendra Modi amekabidhiwa rasmi Nishani ya Mtakatifu Andrew Mtume wa Kwanza-Kuitwa, tuzo ya juu zaidi ya kiraia ya Urusi, katika Ukumbi wa St Catherine wa Kremlin ya Moscow Jumanne.
Tuzo hiyo ilitolewa kwa Waziri Mkuu Narendra Modi mwaka 2019 na jana Julai 9 alikabidhiwa rasmi na...
India imeendesha mkutano wake wa kwanza kama Mwenyekiti wa Mchakato wa Colombo katika Mkutano wa mwakilishi wa Kudumu wa ngazi ya Shirika la Uhamiaji wa Kimataifa (IOM) makao makuu yaliyoko Geneva.
Muktesh Pardeshi, Katibu (Konsulari, anayeshughulika na Pasipoti, Visa na Masuala ya Wahindi...
New Delhi
Prime Minister Narendra Modi and his Bangladesh counterpart Sheikh Hasina on Saturday articulated their shared vision for peace, prosperity and development of the two neighbours and the entire region driven by connectivity, commerce and collaboration
Significant agreements...
Waweka Saini Makubaliano ya kuzalisha 570 MW za Kiwanda cha Umeme wa Maji Safi katika Taifa la Himalaya
Juni 2024
Mwenyekiti wa Kundi la Adani, Gautam Adani, amekutana na Waziri Mkuu wa Bhutan Tshering Tobgay na kutia saini ya Makubaliano na Druk Green Power Corporation ya nchi hiyo kwa ajili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.