Kuna mijitu mifala sana. Unasema watu wamenyeshwa viroba . Hii nikukashifu watanzania wenzako. Km wao niwakynywa viroba nani kawafikisha hapo km si ma ccm. Uchumi wao ungekuwa mzuri wangekunywa bia. Ndio maana tunataka mabadiliko.
Wewe hushangai Magufuli akisema awamu yake ni ya viwanda. Wakati hata umeme hakuna? Nadhani umejibiwa kubana matumizi yasiyo ya lazima. Na kukusanya kodi pesa ipo.
Jamani lzm viongozi waandaliwe au km vipi ujiandaa. Magufuli km kweli alikuwa anandoto za kuwa Rais basi alitakiwa ajiandae. Kujua kiingereza vzr kwa watu wa nchi hii ni lzm kwa sababu ni lugha yetu ya pili na ndio inatumika kwenye masomo ya juu. Wtt wa machief waliandaliwa kuwa machief...
Mimi nasema kwa wapenda mabadiliko hawa vijana watoe acc zao au no zao za simu tuwachangie. Wajitokeze kwny vya habari au ofc za chadema tuwachangie pesa. Nikitendo chakishujaa.
Unae sema ccm oyee nadhani unamaslahi kwenye mfumo huu wakifisadi. Wasiotaka hata katiba ya wananchi. Wanataka wakiwa Rais wakiiba mwisho wa uongozi wao wasiulizwe. Lkn km wewe ndio kati ya malofa n wapumbavu basi umelogwa
Tutakosa kura yake na mkewe. Tulimpenda Slaa kwasababu tulikuwa tunataka mageuzi. Ss km Lowassa atayaleta lzm tumsupport. Tunata mageuzi na si mtu. Ccm ing'oke tu
Kama anaushahidi serikali kwanini hawakumpekeka mahakamani. Serikali hiyo hiyo ikabariki Richmond kuwa Dowans to symbion. Km Richmond ilikuwa ya Rostam n Lowassa kwanini wakakubali hayo yote ya endelee. Sita hawezi kufanya mdahalo n lowasa presedent. Yy afanye mdahalo na mama Makinda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.