Recent content by abdulazizi4172

  1. abdulazizi4172

    JamiiForums Tanzania Je, kuna uwezekano wa kubadili kozi katika chuo kikuu Cha UDOM?

    Habari wana JF? Nauliza je kunauwezekano wa kubadili kozi katika chuo kikuu Cha UDOM ikiwa nahitaji kuchukua kozi ya nursing na pass zangu Ni DCD?
  2. abdulazizi4172

    JamiiForums Tanzania Teknolojia ya kutumia maji kwenye Injini ipo?

    Habari zenu Wana jf? Kuna swali huwa najiuliza lakini nakosa jibu sahihi,nikaona si vibaya swali/jambo hili Nika wahusisha na ndugu zangu wa humu jukwaani. Jambo lenyewe si geni saana Ni hivi, Kuna TEKNOLOJIA Fulani ya kuendesha mitambo yaani namaanisha injini kwa kutumia maji...
  3. abdulazizi4172

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namna ushindi wa Yanga ulivyonipa utamu wa mtoto wa boss wangu

    😲😲😲😲
  4. abdulazizi4172

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Nahisi nimerogwa

    #huyo ndo copy yake au?
  5. abdulazizi4172

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Nahisi nimerogwa

    Exactly!!
  6. abdulazizi4172

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Nahisi nimerogwa

    pole sana kwa yanayo kusibu lakini cha msingi jaribu kuangalia maisha unayoishi na wanaokuzunguka pia jitazame wewe makundi unayoambatana nayo, je yanakustahiki?
  7. abdulazizi4172

    JamiiForums Tanzania Tuliokuwa na ndoto za Udaktari tukawa Walimu, tukutane hapa

    mkopo...!!!! unaongelea nin shekhee?
  8. abdulazizi4172

    JamiiForums Tanzania Tuliokuwa na ndoto za Udaktari tukawa Walimu, tukutane hapa

    kwahyo mwanao utamjengea shule yake umfundishe ww mwenyewe, mana unamaanisha walimu ni failures
  9. abdulazizi4172

    JamiiForums Tanzania Tuliokuwa na ndoto za Udaktari tukawa Walimu, tukutane hapa

    usingizi uliniponza
  10. abdulazizi4172

    JamiiForums Tanzania Tuliokuwa na ndoto za Udaktari tukawa Walimu, tukutane hapa

    Wale PCB's waliokuwa na ndoto za MD halafu tukajikuta ni walimu tukutane hapa kujadili kilichotufelisha wenzetu wajifunze
  11. abdulazizi4172

    JamiiForums Tanzania Kupata ajira ni huruma au haki?

    Achana nae huyo, alitaka hyo nafasi akae bibi ake
  12. abdulazizi4172

    JamiiForums Tanzania Nilivyopata Upofu na Uziwi Shuleni A -level pasipo kujua chanzo na kuwaambukiza Marafiki zangu wa karibu

    Asee endelea,naanza kujenga pcha jeshni kulivyo....
  13. abdulazizi4172

    JamiiForums Tanzania Nina mtaji wa 200,000 nifanye biashara gani?

    Iringa huko viazi vingi,kwakuw umetoka chuo unaconection na watu mbalimbali,tafuta mtu wa wa tanga utuletee mzigo,kwa maelezo zaid nitafute
  14. abdulazizi4172

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    sema uko wapi mana kila mji unafursa zake ndugu
Back
Top Bottom