Ustaarabu Gani?
Mbona kwenye mikutano ya chaumma wanaenda watu wa chadema na wanasema slogan zao na hakuna anayewazuia?
Kwa nini wakienda wengine kwenye mkutano wa chadema na wanakasema slogan zao waonekane wanaleta vurugu au wametumwa?
Kudhania kwamba Nchi nzima yenye watu milioni 65,wote wanakuunga mkono wewe na Chama chako hapo utakuwa huna tofauti na punguani.
Watu Wana mawazo,misimamo,hulka na itikadi tofauti!
Huwezi ukaja kwenye kufanya mkutano kwenye eneo letu la makazi,wewe ukiwa ndio mgeni,unafika na kuanza kutupangia...
Ninyi ndio mnasababisha watu wengi wenye akili timamu washindwe kuwaunga mkono,kama hamtaki watu wenye mawazo tofauti na nyinyi wasije kwenye mikutano yenu muwe mnasema tu.
Sio kujinasibu Chama Cha demokrasia ilihali demokrasia yenyewe hamuitaki hata kuisikia!
Hapo hamjamiliki hata mgambo...
Ndio shida ya kumpa KUKU mgeni tena "kishingo", Vifaranga wa "kuchi" ambao "mama" Yao mlikubali achinjwe kwa ajili ya "Wageni"!
Hataona uchungu wowote wa kulea hivyo Vifaranga,ambavyo sio vyake na hafanani nao kwa chochote,kuanzia umbo mpaka tabia!
Matokeo yake Vifaranga wameanza kupata...
Sijaona shida yoyote kubwa.
Hao ni ndugu na hujui waliishi Maisha Gani kabla wewe hujawa Mke.
kwa ukaribu huo waliokuwa nao wangekuwa wanatafunana Wala usingekuwa na mashaka,ungeona live kabisa!
Hawana lolote hao,hicho kitengo Cha FIU wanakula mshahara wa Bure tu hapo BOT.
Wachina na wakinga wanauza bidhaa kwa Dola kwa Wageni,Tena kwa bei ya juu kuliko bei iliyotolewa na BOT,Dola watu wanabadilisha tu barabarani tu kama tupo Congo!
Sheria ya maduka ya kubadilisha fedha,inamruhusu mzawa...
Benki kuu wasimamie vizuri pia sekta ya kubadilisha fedha.
Wachina,wakinga na wahindi wanauza bidhaa zao kwa Wageni kwa kutumia Dola za kimarekani!
Wachina siku hizi wanamiliki mpaka bureau de change,utakatishaji wanaofanya unatisha.
Dola zinabadilishwa mtaani tu kama tupo Congo,black market...
Sikiliza Mkuu,watu wamechagua kuwa kondoo sio kwa kuwa wao ni mafala au mabwege sana,NO!
Watu wanajua Nchi Yao ilivyo ya hovyo,watu kukupoteza ni jambo la Kawaida na hakuna mtu yeyote atakayechukuliwa hatua!
Siwezi kurisk Maisha yangu na future ya watoto wangu eti kwa sababu ya kumtetea mdude...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.