Mimi, viongozi na wanachama kadhaa Jimbo la Kigoma Mjini ambao ni mgombea wetu udiwani kata ya Kasingirima ndug. Alumbula Khalidi, Alhaji Mzee Selemani Simba, Ntakije Ntanena na Khamis Mzungu tuliokamatwa na polisi siku ya uchaguzi wa kata ya Kasingirima-Jimbo la Kigoma Mjini tarehe 20/03/2024...
Naomba kuiambia serikali kupitia Wizara ya Elimu na Wizara ya mambo ya nje ,kuingilia kati suala hili la wanafunzi wetu waliopata ufadhili wa Elimu (Master's Degree ) nchini Poland.
Serikali ya Poland ina Program inaitwa NAWA- Stefan Banach Scholarship. (The Polish National Agency for Academic...
Tarehe.27/Novemba/2023 niliwasilisha malalamiko yangu kwa Kamishna Sekretariati ya Maadili ya viongozi wa Umma dhidi ya aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria na Mbunge wa Babati Mjini Mh.Pauline Gekul juu ya tuhuma za unyanyasaji dhidi ya Hashimu Ally Philimone.
Kwa mujibu wa Sheria ya...
Sisi viongozi wa Jumuiya ya vijana kutoka vyama pinzani vitatu nchini Ngome ya Vijana ACT Wazalendo, Jumuiya ya vijana CUF (JUVICUF) na Jumuiya ya vijana -NCCR Mageuzi ambapo awali tulikuwa pamoja na viongozi wenzetu kutoka Baraza la vijana Chadema (BAVICHA) kuanzia hatua ya vikao hadi hatua ya...
Inatia moyo sana muitikio (Response) ya Serikali na idara zake huko Hanang(Katesh) , pia wadau na Wananchi wote kuungana na kujitoa kwa misaada ,nguvu kazi na Dua.Mungu awasaidie marehemu wote na wahanga.
Tukio lilotokea Katesh sio rahisi kulizuia kama halijawahi tokea. Hivyo hatua ambazo siku...
Kwa mujibu wa Sheria ya Maadili ya Maadili ya viongozi wa Umma Sura. No.398( R.E 2020) kifungu cha 25(1) kinachotoa fursa kwa mtu yeyote kuwasilisha malalamiko yake dhidi ya kiongozi wa Umma juu ya uvunjifu wa sheria ya Maadili ,pia kwa mujibu wa Katiba 1977 ibara ya 26(2) inayotoa agizo la...
Tayari Bungeni limesoma miswada hii kwa mara ya kwanza Novemba hii ,hivyo kutoa fursa kwa wananchi,vyama vya siasa,wadau na wana demokrasia kuchambua ,kujadili na kubainisha maeneo yenye upungufu kabla ya Januari/ Februari 2024 ambapo itasomwa kwa mara ya pili.
Ni muhimu sana Wananchi wote...
Taarifa kwa wanafunzi 238 wa Samia Scholarship 2022/2023 ambao wamepata chini ya GPA ya 3.8.
Leo tar.2/Novemba /2023 niliandika taarifa ya kwamba wanafunzi 238 kati ya 640 ambao wana ufadhili wa Samia Scholarship ambao wamepata chini ya GPA ya 3.8 na hivyo kuambiwa wameondolewa kwenye ufadhili...
Mh. Rais Samia ,Waziri wa Elimu Prof.Mkenda na Wizara ya Elimu kwa ujumla kwanza napenda kupongeza mfumo huu Mpya wa Samia Scholarship ulioanzishwa kutoa ufadhili wa Masomo vyuo vikuu 100% kwa wanafunzi wa Masomo ya Sayansi waliofanya vizuri kidato cha 6 na wanaokwenda vyuo vikuu kusomea...
Fact-Check ,Fact-Check Kuhusu Migogoro Ardhi.
Kwenda kwa Muenezi wa Matamko Bwana Ndug.Paul Makonda.
Bwana Muenezi Mtoa Matamko umetoa tamko Kwaniaba ya chama kumpa Waziri Mkuu miezi 6 kushughulikia suala la migogoro ya ardhi nchini. Miaka 60 ya uhuru ,CCM mmetawala mmeshindwa kutatua...
KUHUSU TAARIFA YA MAMLAKA YA BANDARI KUTANGAZA TENDA YA KUTAFUTA MUWEKEZAJI WA GATI NAMBA.8-11 BANDARINI.
Kuna taarifa imetolewa leo tar.31/Agosti/2023 na mamlaka ya bandari (TPA) kutangaza tenda (Competitive Bidding) kwa kampuni zenye uwezo wa kuwekeza katika uendeshaji (Operation ) wa gati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.