Recent content by Abdul Amour

  1. A

    Tuzungumzie kidogo swala la mipaka ya TANGANYIKA NA ZANZIBAR

    Suala lako linaonyesha wewe ni mtu wa aina gani kwanza naweza kusema kuwa huijui Historia ya Tanzania kabla haijaitwa jina hili la Tanzania. Kwa ufupi sana kabisa nitajaribu kukusaidia kama utaweza kuelewa historia ya nchi yako ya Tanzania. Ni kuwa jina hili la Tanzania limeanzisha mara tu...
  2. A

    Unafiki wa CUF kuhusu muungano

    Anaembeba mwanamme mwenzie itakuwa lazima ni shoga vipi umpe mgongo mwanamme mwenzio?
  3. A

    "....utakuta kuna Wazanzibari na Wazanzibara!..., utakuta hivyo!"

    Kwani kabla ya Muungano si ndio ilikuwa hivo kwani tatizo nini?
  4. A

    Ujanja wa Mfalme Juha

    Wakati Mwalimu Nyerere alipokwenda kuonana na Mzee Abeid Amani Karume kuhusu kuziunganisha Nchi mbili huru Zanzibar na Tanganyika alikuwa na dhamira ya kuitawala Tanganyika Maisha. Ili afanikiwe na dhamira yake hio alilazimika kuiweka Zanzibar chini ya himaya yake kwa maslahi yake ili isiwe...
  5. A

    Hivi kwanini Zanzibar tusiipe ban hata ya mwaka 1 tu kwenye muungano ili wawe na adabu?

    Sio kweli kuwa watanganyika wanataka muungano wao wanataka kuendelea kuitawala zanzibar kiujanja ujanja na hilo sasa basi. sisi tunajiweza kwa nini mutubebe huu sio wakati wakubebana kila mtu atajua vipi atafika anapokusudia kufika. Tatizo sio zanzibar kudai mamlaka kamili tatizo ni Tanganyika...
Back
Top Bottom