Mmejitahidi majirani lkn kambuni za bongo HASA Halotel bado wapi vizuri sana kuliko hapo mnapofurahia
Sababu,
Faiba network inatoa kwa ksh 50= 1 GB per day
Halotel inatoa Tshs 1,000= 1.1 GB per week
Kshs 50= equivalent to Tshs 1,100=
Khy nikasema mmejitahidi majirani lkn bado sana.
Ukweli kuachana AMA kupendana ni kitu cha kimaumbile huwezi kukilazimisha
Wengi nawaona wanateseka kwa kupata magonjwa ya moyo na vidonda vya tumbo kwa kuogopa kuachana na kulazimisha mapenzi wkt moyoni hayamo,
matokeo yake matatizo mengi yanaongezeka na michepuko kibao
Ndio maana hata rate ya...
Duhh majanga
Ukweli hawa jamaa wakikwambia mambo yao ni lzm uwachunguze sana ,
Kushirikiana nao ni lazima use mjanja
Kumbe ndio maana magufuli anawakazia keshawajua.
Nakumbuka ulipoanzishwa mradi wa mwendokasi waliponda hivi hivi lkn sasa hivi wanapanga foleni kuja kujifunza nchi kibao za Africa ikiwemo Kenya
Khy wacha wapige kelele na kuponda lkn naamini siku wakija bongo wataishia kibaha kutafuta madereva wa kuwaingizia magari yao city center
Hamna kitu hapo
Hizo zenu ni barabara za kawaida tuu interchange ya ghorofa NNE ktk Africa IPO kwa nchi mbali au tatu tuu na itatoa lane nane ambazo zitakwenda 16km na kuebdelea mpk chalinze 200km super highway with flyover za kumwaga SI kama huo ushuzi wa Dr shika road
Yaahh baada ya kuona ile mission imefeli sasa wanataka kutudanganya kwa njia nyengine lkn kwa bahati mbaya Kenya hawana cha kutuvuta
Kuanzia
Ajira
ARDHI
Fursa mbali mbali
Wanawake wazuri
Mambo yote hapo huku bongo
Kenya hawana jipya
You are right brother huo ni mtego wa panya
Wanataka kutumia mlango wa nyuma kupata malisho ya ngombe
Pia kutibu ugonjwa wa ukabila kwa inter marriage
Lkn its too late.
Its correct
If you want to fight them know them,join them,
Ni mbinu za zalibya juu ktk kumwin au kumuangusha mpinzani wako ninlzm umjue weakness zake na strength zake ss nashangaa ndugu yetu yule anawaona wa TZ ninwajinga
Afuatilie historian ya China mpk kufika hapo ilipo ilifanya nini kwa...
Khaaa rabish
Yaani ni uchafu mtupu unaongea hembu ONA aibu
Kupresent mawazo yako ndio yawe ya watanzania na wakenya mimi nimeowa na nafanya biashara Kenya huna LA kuwadanganya watu ndugu
mng'oa kucha
Nimekukubali
Ni wale wenye upeo wa kuona mbali,
Na wenye uwezo wa kusoma na kupambanua mambo ndio wanaweza kukuelewa,
Tatizo wabongo wengi hawajielewi na hawakubali ukweli pale wanapohisi ukweli huo umeichoma ITIKADI yake au kiongozi wake wa kisiasa.
Ulichokiongea ndio real mm...
Ndugu yangu umeongea mengi sana lkn kwa mtazamo inaonekana kwanza huijui Kenya
Hujui shida wanazozikabili wananchi ya Kenya
Pili hujui mbinu na mikakati wanayoitumia Kenya kuhakikisha wanaikamata Tanzania na wanaendelea kunufaika kupitia Tanzania,
Kuwa na uono mfupi kuna kufanya yule...
Ni kweli kabisa jamii ambayo haijastaarabika hurekebishwa kwa vitendo SI maneno matupu
Kuthibitisha hilo
Tazama wameelezwa ilivyokuwa mpk ngombe zilipoamuliwa kuuzwa
Pia wameelezwa jinsi ukiukwaji wa sharia za nchi na za kimataifa zilivyokiukwa
Lkn mijitu bado haielewi povu linawatoka
Huku ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.