Recent content by Abdallah Mlimbo

  1. A

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Hatuwezi Kushinda Vita Hii Kwa Kutishana Na Kuogopa Kushitakiwa Na Wawekezaji

    Tatizo ni mikataba yetu tuliyoipitisha na kuisaini bungeni, Bogus treaties
  2. A

    JamiiForums Tanzania Nawashangaa wanaonihusisha mimi binafsi na Sheria ya Makosa ya Mtandao - January Makamba

    Hapa Ndugu Makamba huna pakujitetea kubali tu lawama zinawahusu nakumbuka kipindi hicho ulikuwa naibu Waziri wa sayansi na Tekinolojia
  3. A

    JamiiForums Tanzania Sitaki kuamini kama Zitto anatoa ushirikiano kubakwa kwa ACT

    Haja hapa ni Uzalendo wa kulitumikia Taifa kwa umahiri na si kulumbana hakutusaidii kitu huu ni muda wa sisi kulitumikia taifa na si kufanya siasa pendwa na nyepesi za kitoto na kinafiki
  4. A

    JamiiForums Tanzania Sitarudia kuitetea tena CCM. Nimechoka

    Poa kaka but Huyu Raisi tuliyenae hatabiriki yahitajika uvumilivu was hali ya juu ndugu
  5. A

    JamiiForums Tanzania Ben Saanane, kada wa CHADEMA azua taharuki, namba yake yaleft Magroup ya WhatsApp

    No news that are bogus information for selling their magazine
  6. A

    JamiiForums Tanzania Sitarudia kuitetea tena CCM. Nimechoka

    Wewe kama umehuzunishwa sana jiuzuru au kata rufaa kwa bosi wako
  7. A

    JamiiForums Tanzania Ben Saanane, kada wa CHADEMA azua taharuki, namba yake yaleft Magroup ya WhatsApp

    Hii ni nchi yetu wote hivyo yeyote yule anayeza kuongoza basi apewe nafasi Magufuli aliahidi ktk kampeni zake kuwa atateua yeyote yule katika nyadhifa anuai hivyo sioni cha ajabu hapo
  8. A

    JamiiForums Tanzania UTEUZI: Rais Magufuli amteua Anna Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro

    Magufuli anajaribu kuwahadaa Watanzania Sent from my Y4 using JamiiForums mobile app
  9. A

    JamiiForums Tanzania Sophia Simba ataendelea kuwa mbunge kupitia mahakama. Ya Bashe na vitisho vya kuhoji

    Ccm inapotea taratibu Visasi, Chuki, Unafiki, Majungu, na Ubabe unakitafuna tusubiri ndani ya 2yrs.something which will be amazing for ccm members will happens
Back
Top Bottom