Umeandika maneno yako kwa uchungu na inaonyesha una uzalendo na nchi yako. Shida inakuja pale ukiteuliwa na kuonja cake ya taifa nawe unakuwa walewale.
By the way ikitokea umeula kawe makini wanaweza kukukolimba maana huko kote ulikotaja ni mirija ya ya watu kwa ajili ya upigaji.
Mkuu nadhani hii sio lugha nzuri, mimi naamini binadamu wote ni sawa .
Kuwa na dini tofauti haimanishi kuwa mmoja ni bora kuliko mwingine,
Sisi sote binadamu Mungu wetu ni mmoja tu ijapokuwa tunatumia dini tofauti katika kumuomba Mungu / Allah.
Kama nimekukwaza nakuomba unisamehe japo sio...
Asante sana, uzidi kuniombea ndugu yangu ili nipate "MKE" sahihi wa kinifaa maishani maana lengo hasa ni kujenga familia iliyo bora na sio bora familia.
Niombee tu nisije pigwa na kitu kizito hadi nikachanganyikiwa my dear; maana mimi kwa kweli nipo serious sana na hili jambo .
Habari zenu ndugu,
Mimi mwanaume wa miaka 33 natafuta mwanamke wa kuoa .
Sifa za mwanamke/ mchumba nimtakaye
Awe muislam na mwenye hofu ya Mungu
Awe na miaka kuanzia 20 na kuendelea hadi miaka 30 iwe mwisho
Awe anajitambua
Awe na elimu angalau Diploma na kuendelea
Mwisho awe tayari kuolewa...
Mbona unamtukana mwenzio bila sababu ya msingi? Imagine yeye ndio angekuwa anakutukana hivyo ungejisikiaje ndugu yangu.
Mjibu tu kistarabu kama wa kuelewa atakuelewa tu sio lazima kutumia matusi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.