Habari zenu!!
Naomba kufahamishwa bei ya Cat 424 backhoe loader au similar to this na John deere 5500 (55hp) ikiwa used na pia mpya. Nazihitaji kwa ajili ya kilimo.
Asante
Nimefuatilia kwa msaada wa rafiki yangu ambaye tunataka tufanye kilimo hiki in large scale, zao hili linalimwa sana India,nashukuru kwa taarifa, nitafuatilia SUA nijue location kwa Tanzania ya zao hili.
nimekuelewa kaka, ni hivi kuna kampuni linataka mwakilishi Tanzania kwa vifaa hivyo, kwa sasa kuna shughuli nafanya naona zinaniweka busy, wanachotaka ni uwe na registered company, location, na contact za wateja, then unafanya orde depending on demand, kama uko interested ni pm nikupe email yao.
Habari wadau! Nimejaribu kufuatilia kuhusiana na kilimo cha mizeituni, naona ni kama hakifanyiki kwa Tanzania, kwa mwenye ufahamu kuhusiana na kilimo hiki na soko lake Tanzania na Afrika Mashariki naomba tusaidiane mawazo.
The car is used oveseas, it is to be imported
- air condition
- diesel
- manufactured 2000
- manual gear
- electric windows and mirrors
- tempomat
- RHD
- alloy wheels
-engine 2700cc
-mileage 127,000km
- price $ 4925
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.