Tunawadharau wachezaji wetu ila mchezaji km Chikola ni mtu na nusu haswaaa. Edmundi ukimuangalia kwa haraka unaona kabisa ana kitu cha maana. Hao wageni ni wa kawaida tu sio wakutisha saaaana. Pacome atabaki Pacome jamaa anajua sn boli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.