Natafta mtu ambae ataeweza endeleza pale nlipoishia ....nlikua natka kufungua mgahwa na nimenunua viti meza kabati na vyombo va kutumia na majiko ...ila nimekwama katika mtaji na el ya kulipia eneo la bishara ..
Hivo kama kuna mtu naeza kuj na kueka ela yake katika kulipia eneo na mtaji mi...
Natafuta mtu ambaye ataweza endeleza pale nlipoishia, nilikua natka kufungua mgahwa na nimenunua viti meza kabati na vyombo va kutumia na majiko ila nimekwama katika mtaji na el ya kulipia eneo la bishara.
Hivo kama kuna mtu naeza kuja na kueka ela yake katika kulipia eneo na mtaji mi mtatoa...
Natafuta mtu ambaye ataweza endeleza pale nilipoishia, nilikua nataka kufungua mgahwa na nimenunua viti meza kabati na vyombo va kutumia na majiko ila nimekwama katika mtaji na hela ya kulipia eneo la bishara hivyo kama kuna mtu naweza kuja na kuweka hela yake katika kulipia eneo na mtaji
Mimi...
Msaada kama kuna mtu ashawahi fanya biashara kupitia Kikuu.
Je, shipping yao wanaleta kweli au ndio unasubiri mpaka unasahau kama ulinunua kitu Kikuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume kumuomba hela akumfanyi awe mwanaume ..ila njia pekee ya wwe kumfanya awe mwanaume wa kweli ni wwe kua 7bu ya maendeleo kwake ...wewe ndio uwe mtu wa kumshawishi na kumpa nguvu katika mipango yake ...kiufupi wwe ndio uwe mtu wa kwanza kwake...akitaka ushauri na mawazo ...jiongeze...
Uyu namfaham anauza jumla na mi nlikua mteja wake ...na si trey 3000 ila 300 ...ni kawaida hyo bro watu wanachkua mpaka trey 1000 kwa siku
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.