Recent content by Aare Maduhu Kopano

  1. Aare Maduhu Kopano

    JamiiForums Tanzania Rais mteule wa Marekani Donald Trump ametishia kutoza ushuru wa asilimia 100 kwa muungano wa mataifa tisa wa BRICS iwapo yataunda sarafu

    Afrika inawataka watawala wake kuangalia interest za Africa katika jambo lolote lile, ila ni Nongwa Rais wa Marekani kuangalia interest ya Marekani kwanza. People do things for self interest not altruism.
  2. Aare Maduhu Kopano

    JamiiForums Tanzania Ulaya imejengwa na ukabila

    Ulaya imejengwa na ukabila. watu wa kabila moja waliamua kutengeneza Nchi yao. kwakua wanasikilizana, wana Miiko sawa ndiyo maana Nchi zao zilikuwa kwa haraka Kiuchuni. Unlike Africa, Makabila zaidi ya Mia Moja yamefungwa Nira Moja. Hii inafanya watu wasiwe na Uchungu na Rasimali za Nchi. kwa...
  3. Aare Maduhu Kopano

    JamiiForums Tanzania Wanyakyusa wamebaini fursa makanisani

    Utume ni wito, however wengi wa wahubiri hawa hawajaitwa, bali wamejiita. Mungu hawezi muita mtu ambaye hawezi hubiri kwa usahihi neno lake.
  4. Aare Maduhu Kopano

    JamiiForums Tanzania Canada yapiga marufuku uhamiaji holela

    Ili sakata la uhamiaji linaimpact kubwa sana especially kwa Africa. Uko nyuma waafrika wenye ufahamu wa mambo walikuwa wakikimbilia ulaya na marekani kutafuta unafuu wa maisha. Sasa hiyo milango inafungwa, hali inayofanya kundi ilo libaki afrika kwa kwa shurti. Sasa, tawala za Africa ni either...
  5. Aare Maduhu Kopano

    JamiiForums Tanzania Watu wanne unaotakiwa kuwa nao wakati wa kununua kiwanja dar or across the country

    A- Wakili. B- A surveyor. C-A land Valuer. D- Mlevi mmoja ama wawili wa hapo mtaani Watakao kuambia kweli(hidden truths) na historia ya hicho kiwanja.
  6. Aare Maduhu Kopano

    JamiiForums Tanzania Baada ya Uislamu wanaofuata kwa kujiona wakamilifu ni Wasabato

    ANDIKO?. LETE VERSE MOJA TU KUWA KUNAMUNGU MMOJA MWENYE NAFSI TATU.
  7. Aare Maduhu Kopano

    JamiiForums Tanzania Baada ya Uislamu wanaofuata kwa kujiona wakamilifu ni Wasabato

    Wasabato wakiwakosoeni, mnasema wanawatukaneni. Mungu hana nafsi mbili, Mungu Ana nafsi moja. Anasema katika biblia:, KWA NAFSI YANGU(SIO NAFSI ZANGU) NINA APA.
  8. Aare Maduhu Kopano

    JamiiForums Tanzania Kwanini tupo Duniani? Hadithi ya kutisha ukweli kuhusu Biblia

    UKIWA NA UWEZO(AKILI) WA KUUMBA MTU, UNA UWEZO KUAMRU DHAHABU AMA MADINI YOYOTE YATOKE ARDHINI NA KUJA JUU. MAANA KUAMRU MADINI YATOKE ARDHINI NA KUJA JUU SIO JAMBO COMPLEX KIVILE KAMA KUUMBA MTU. MWENYE HUO UWEZO, ASINGELIHITAJI KUUMBA MTU ILI KUPATA MADINI. 2 Pet 1:16 SUV Maana...
  9. Aare Maduhu Kopano

    JamiiForums Tanzania Vita ya kwanza na yapili ya dunia ilisababishwa na Magaidi gani?

    Ndani ya Miaka 18, mtume kapigana vita 85.
  10. Aare Maduhu Kopano

    JamiiForums Tanzania Vita ya kwanza na yapili ya dunia ilisababishwa na Magaidi gani?

    Wengi wameshindwa Tambua kusudio la mleta Mada. nimsaidie;ukristo haujawai ANZISHA VITA.
Back
Top Bottom