Recent content by a_mwakipesile

  1. A

    JamiiForums Tanzania Uongozi wa Bunge: Mkopo wa gari kwa Wabunge ni Milioni 90, hautaongezwa

    Hivi kuna umuhimu gani kwa serikali kila baada ya miaka mitano kutoa fedha za kununulia magari ya wabunge? Haya si magari ya majimbo husika na kama ndiyo kwa nini wabunge wanapimaliza muda wao magari hayo hayarudishwi katika majimbo husika? Hapa kuna mchezo mchafu wa matumizi ya rasilimali
  2. A

    JamiiForums Tanzania Asanteni wana Kyela kwa kuikataa CCM

    MATOKEO KYELA - CCM (Kata 24); CHADEMA - (Kata 9). Ccm imaraaaaa
  3. A

    JamiiForums Tanzania Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    Wakati wengine wanamaliza kampeni leo ktk jimbo la kyela wengine ndio tunaanza rasmi safari ya 2020. Nuru inakuja wana kyela.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu Kanda ya Dar: Marufuku Mikusanyiko ndani ya mita 200 baada ya kupiga kura

    Kwa Tafsiri hii ya sheria ni kwamba hata ibada za jumapili ni marufuku iwe kanisani au ktk misikiti?
  5. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania GPS navigation katika gari za bongo

    Jaribu sygic. Hii inauwezo wa ku navigate hata ukiwa offline
  6. A

    JamiiForums Tanzania Leo Ijumaa, Agosti 7 nitazungumzia siasa zinazoendelea nchini channel 10 saa 4 usiku, karibuni

    Kama nilivyoandika jioni ya leo. Huyu kijana haitakii nchi hii afya ya kisiasa. Binafsi ni mwanachama wa ccm lakini uwepo wa ukawa na wafuasi toka ccm kuingia ukawa hii ni afya njema kwa mustakabali wa taifa letu. Kijana amechuja
  7. A

    JamiiForums Tanzania Leo Ijumaa, Agosti 7 nitazungumzia siasa zinazoendelea nchini channel 10 saa 4 usiku, karibuni

    Nategemea leo Humphrey atakuwa yule kijana niliyemjua mwaka 2002. Ni moja ya vijana wachache waliopewa upeo wa mbali lakini anatetereka katika uchambuzi usio na utafiti yakinifu.
Back
Top Bottom