hahaha...watu wengine hatari sana! Mtu anaweza akachati na kimchepuko chake kwenye thread ya m2 mwingine! Kweli "Bwana asipolinda mji, alindae akesha bure"
Wapigwe tu, hao ni wakwepa kodi. Kwanini mimi nilipe kodi wengine wasilipe kupitia umachinga? Hao ni wahujumu uchumi. Mnataka uchumi wa nchi uteketezwe na machinga badala ya kuwa na investments kubwa mijini? Hivi kila kijana akiwaza umachinga, tutakuwa na taifa la aina gani?
hahahaha.....alikolea mno! Akataka kunijua zaidi, hata hivo nilikuwa nshachoka, so alinipunguzia shughuli. Cha ajabu kanipigia tena kuniomba msamaha mchana, simwelewi?
Hili jukwaa navyolichukulia sina uhakika kama kuna Viongozi wa dini katika hili jukwaa la MMU.
Kama wapo, basi tupeane mawazo/elimu umuhimu wa uwepo wao huku hasa wanapoona mambo mbalimbali yakitajwa huku kama vile papuchi, n.k.
Maana huku ukifuatilia sana hutakuwa na tofauti na mtu anaependa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.