Recent content by A Peculiar people

  1. A Peculiar people

    Yesu aliumba Mbingu na Nchi

    Kama unapinga sawa pinga lakini haikufanyi uwe sahihi.. kwa nini watu wanaumwa? Haya sio mambo ambayo Mungu alimuumbia binadamu.. Mungu alimuumba binadamu akamuweka dunia ampe utukufu sio haya yanatokea. Haya yanayotokea ni matokeo ya dhambi ni matokeo ya kutukumtii Mungu na badala yake hatui...
  2. A Peculiar people

    Yesu aliumba Mbingu na Nchi

    Logic ya imani ipo juu ya imani.. Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.
  3. A Peculiar people

    Hivi kwanini Yesu hakuoa wala kuwa na mchumba miaka yote hiyo?

    Haha usichokijua Kipimo cha haki ni kumuamini Yesu.. Yesu alikufa tupate haki ya kusimama mbele za Mungu pasipo kuhesabiwa hatia.. Yesu hakufa bure maana wapo watu waliomkubali na kumuamini. Yesu alikufa mara moja tu kwaajili ya dhambi.. Badala ya kuwashauri watu kutenda dhambi nawashauri...
  4. A Peculiar people

    Yesu aliumba Mbingu na Nchi

    Imani logic yake ni imani. Yesu kristo ni neno la Mungu liliofanyika kuwa mwili. Binadamu alipofanya uasi alipokea adhabu na matokeo yake ilikuwa ni mauti na sio hilo tu hiyo dhambi ilisababisha uadui katika ya binadamu na Mungu. Hivyo Yesu alikuja kutatua tatizo la dhambi kwa kufa badala ya...
  5. A Peculiar people

    Hivi kwanini Yesu hakuoa wala kuwa na mchumba miaka yote hiyo?

    Sijui kama unaona unachokitype.. Huwezi kumuamini Yesu alafu ukaendelea kutenda dhambi.. Kumuamini Yesu inamaana unaamini alikufa kwaajili ya dhambi zako sio zake.. Na yoyote anaelewa hili hawezi kutaka kutenda dhambi na hata hiyo asili ya kutenda dhambi haimo ndani yake
  6. A Peculiar people

    Hivi kwanini Yesu hakuoa wala kuwa na mchumba miaka yote hiyo?

    Sijameza haya mambo , ndio ninayaishi ninaona.. Kumuamini kumenifanya niwe hii nilivyo leo
  7. A Peculiar people

    Hivi kwanini Yesu hakuoa wala kuwa na mchumba miaka yote hiyo?

    Ukifa haukumiwi kwa dhambi la sivyo Yesu angekuwa amekufa bure.. Ukifa una hukumiwa kwa kutokumuamini Yesu
  8. A Peculiar people

    Hivi kwanini Yesu hakuoa wala kuwa na mchumba miaka yote hiyo?

    Unachagua unachotaka kuamini, na unachoamini kinabeba uzito gani.. Lakini katika maisha ya ukristo tunafata muongozo wa biblia kujua ni ni ni kweli nini si kweli.. Kwenye biblia hakuna mahali inaonyesha Yesu alioa labda ipo ila mimi sijaisoma.. Sasa kwa ni ni nikubali kitu ambacho hakipo kwenye...
  9. A Peculiar people

    Hivi kwanini Yesu hakuoa wala kuwa na mchumba miaka yote hiyo?

    Kwa kujua na kwa kutokujua.. Yesu alikuja ulimwenguni kulikuwa ni kwasababu ya kumsaidia mwanadamu na dhambi.. Hapo mwanzo shida kubwa ya mwanadamu ilikuwa ni dhambi na dhambi ikasababisha uadui wa mtu na Mungu wake.. Kwahiyo Bwana Yesu alikuja kuabolish dhambi kwa kuna kaka na kufufuka...
  10. A Peculiar people

    Hivi kwanini Yesu hakuoa wala kuwa na mchumba miaka yote hiyo?

    Yesu likuja duniani kwa kama moja. Kumuokoa mwanadamu na dhambi alivyomaliza ndio maana akaondoka zake.. We all hata our mission here on earth tatizo ni kuijua, na kuna epusha na tatizo yasio ya lazima
  11. A Peculiar people

    Nimeitwa Interview shirika la Nestle Global nchini Ghana

    Kuna mtu ameshauri hapo hii vizuri tu, awatafte kwa za ajithibitishie kupitia address zao.. Mengine ni baada
  12. A Peculiar people

    Nimeitwa Interview shirika la Nestle Global nchini Ghana

    Kikubwa confidence, kama hauna passport fanya mchakato upate.. Fanya fanya research ya bei za ndege, mahali utakapofikia mahali unapoenda(location yake).. Zingatia muda..
Back
Top Bottom