Kwanza ningetengeneza decree kama za mwalimu Nyerere kuzuia V8 kutembea wiki nzima. mikataba yote ya madini ningeipitia upya yote. Pia ningepitisha bajeti ya ufufuaji wa viwanda mikoa yote Tanzania kwa ile pesa ya kuendeshea V8
daaah nasikitika kwa hii hotuba ya rais wa jamhuri kubwa kama hii kuyakana maneno yake....anasema kuwa yy alitoa ushauri tu...embu tujiulize watanzania wenzangu ulikua ni muda muafaka ule kwa rais kutoa maoni yake pale au alipewa fursa ya kufungua Bunge.
Nashukuru kujitambua kwamba yeye kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.