Hivi J ameoa? Kwnn 'WAHUNI' wanakipenda hiki chama! au kwakuwa KATIBU muhuni? Ndio chanzo cha maamuzi yakihuni mjengoni
Hivi J ameoa? Kwnn 'WAHUNI' wanakipenda hiki chama! au kwakuwa KATIBU muhuni? Ndio chanzo cha maamuzi yakihuni mjengoni
Kutokana hali isio ya kawaida wananchi wa jimbo la Mikumi wamemupokea shangwe msanii wa Bongo flavour na mmoja wapo wa wanaharakati wa mwanzo alifanya mziki huo kuonekana kwa wanajamii kuwa sio mziki wa kihuni Joseph Haule (Prof Jay) maamuzi yake ya kugombea ubunge katika jimbo hilo kwa kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (chadema)
Wananchi hao wakizungumuza katika moja ya mkutano wake wanasema hawapo tayari tena kuichagua ccm na mbunge wake Abdusalama Amer wamesema ni heshima kubwa kwa msanii huyo kugombea jimbo kwani angeweza kugombea jimbo lolote nchini na angeweza kupata lakini kwa kutambua umhimu wa kuwatumikia watu wa Mikumi na kuambua kuwatumikia wamesema watamuunga mkono msanii huyo mwenye heshima kubwa inchini
siyo mbaya cz alivua gamba akavaa gwanda
Prof J Jembe.
tunajua tulikosea wapi lakini huyo profesa j hatufai.akatafute jimbo lingine.nadhani hajui kwamba toka mwaka 2000 jimbo la mikumi huwa linakwenda kwa wapinzani lakini ikulu inabadilisha matokeo. Hapo ni pagumu yeye akaendelee tu na muzikiMbunge wenu angekuwa makini leo usingesema "shida zetu" yaani msingekuwa na shida tena.
Hivi Makinda pamoja na uzee wake kaolewa? Au nimchumbie tu nimuwowe?
muziki wa hip up wapi na wapi na ccm sioni ajabu wana hip up wanaoimba muziki wa kianaharakati kuipenda chadema na sishangai waimba taarabu, wabanapua kama diamond na waigizaji wenzake wauza unga kushabikia ccm
kijana acha uhuni kama wewe ni mvuta bangi kazi kwako.jimbo la mikumi linaishia kilombero kama ulikua haujui ,mwambie huyo profesa j akatafute jimbo lingine asipoteze muda kilombero hatutaki vilazaWee nenda zako huko udzungwa, kapambane na majembe ya kilombero. Mikumi tuache wenyewe usijipendekeze pendekeze huku tutakupiga kitu bureee!
tunajua tulikosea wapi lakini huyo profesa j hatufai.akatafute jimbo lingine.nadhani hajui kwamba toka mwaka 2000 jimbo la mikumi huwa linakwenda kwa wapinzani lakini ikulu inabadilisha matokeo. Hapo ni pagumu yeye akaendelee tu na muziki
Amekosa cha kufanya....asuburi aibu ya mwaka