Niliongea kitu kama hiki wiki iliyopita..baadhi ya wakuu wakajaa juu wakihisi nazungumzia mambo ya udini sijui...
Nafikiri hii issue ya usafi ni utamaduni wao..hata watoto wao wako ivo
Wako smart-kimavazi muda wote wako safi kabisa
Wako smart kichwani..
hawatumii kabisa abusive language kwa watoto wenzao..wana sifa nyingi nzuri ambazo kwa umri wao unaona kabisa mama zao wako vizuri
Wakuu kwema,
Naomba nichukue nafasi hii kuwapongeza wakina mama na wanawake wote wa kiislam kwa malezi Bora kabisa ya watoto wenu.
Kwanza kabisa mimi si wa dini hiyo, ila naomba tu niwe mkweli. Wahenga walisema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Katika suala zima la malezi ya watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.