Recent content by A.G.R

  1. A.G.R

    UKIFUNGUA KAMPUNI NI KODI GANI NA GANI UNAHITAJI KULIPA TRA?

    Habari Ndugu Zangu, ningependa kufahamu mtu akiwa na kampuni anahitaji kulipia kodi gani na gani?
  2. A.G.R

    NAMTAFUTA MTU ALIYEJULIKANA KWA JINA BEST

    habari wadau, namtafuta mtu aliyejulikana kwa jina BEST, alikuwa anapakia mchele miaka ya 1992 TANDALE SOKONI, hatujui jina kamili ila alikuwa anatumia jina na a.k.a BEST. Mwenye mahusiano naye, anayemjua, au mwenye contacts zake naomba awasiliane na mimi au anipe contact zake kwa kucoment...
  3. A.G.R

    Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Habari wadau, kwa anayejua, nilitaka kujua TCAA salary scale 7 ni mshahara wa shilingi ngapi. ahsante
  4. A.G.R

    Nauza suspension shockup ya mercedes sclass

    Nauza used suspension shockup ya mbele ya mercedes benz sclass, bei 600,000 maongezi yapo piga number 0766408762
Back
Top Bottom