Recent content by A BIG BOX OF NOTHING

  1. A

    Binti wa kambo anajilengesha kwa baba wa kufikia

    Jamani eh, naona watu wanaanza kunishambulia kana kwamba mimi ndio muhusika mwenyewe...mimi ni mjumbe tu na siku zote mjumbe hauwawi jamaniiii
  2. A

    Binti wa kambo anajilengesha kwa baba wa kufikia

    Mtu kuomba ushauri ni kwamba unahitaji mawazo na idea za ziada mkuu...wewe mgogo nini mbona una upeo finyu hivyo???
  3. A

    Binti wa kambo anajilengesha kwa baba wa kufikia

    Mkuu anayepanua domo na kulishwa sio mimi bali na jamaa yangu...so usinihukumu aisee
  4. A

    Binti wa kambo anajilengesha kwa baba wa kufikia

    Hivi umesoma vizuri hiyo thread??? Sio mtoto wake bali ni mtoto wa mwanaume mwingine...sawa mkuu???
  5. A

    Binti wa kambo anajilengesha kwa baba wa kufikia

    Kumbuka sio mimi lakini bali ni rafiki yangu
  6. A

    Binti wa kambo anajilengesha kwa baba wa kufikia

    DEMBA, acha kupekua yasiyokuhusu!!!
  7. A

    Binti wa kambo anajilengesha kwa baba wa kufikia

    Ndio maana yake sasa kama wewe ungefanyaje hapo unadhani?!!!
  8. A

    Binti wa kambo anajilengesha kwa baba wa kufikia

    Ndio maana yake sasa kama wewe ungefanyaje hapo unadhani?!!!
  9. A

    Binti wa kambo anajilengesha kwa baba wa kufikia

    Mambo vipi jamiiforum members. Bila shaka nyote mpo pouwaa na wazima sanaa! Nina rafiki yangu ana umri kama miaka 47 hivi tupo naye ofisi moja ijumaa aliyopita alikuwa na kihoja cha mwaka. Ni kwamba, yeye alifiwa na mkewe kama miaka mitatu iliyopita alikuwa mwanamke wa kihehe kutoka Iringa...
  10. A

    Wadada kuweni na huruma: Mchepuko atafuna kiinua mgongo chote cha NSSF

    Ulitaka na mimi nijiite somebody cute although i look scary and raggedy???!!!
  11. A

    Wadada kuweni na huruma: Mchepuko atafuna kiinua mgongo chote cha NSSF

    mafao hutegemea na contributions zako mkuu na miaka uliyofanya kazi pamoja na kiwango cha mshahara
Back
Top Bottom