Recent content by A 100

  1. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania DRC yafunga ubalozi Kenya kwa kuituhumu kushirikiana na M23

    Nilijuwa Kenya lazima wataharibu maana wamekaa kiukora ukora,km uhamini hoa mwanamke wa huko,atakupora kila kitu
  2. A

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa chipukizi Taifa anaweza kufokewa na Mkuu wake wa Shule?

    Nipo pembeni ninasubiri majibu ya bibi Faiza
  3. A

    JamiiForums Tanzania Hisbollah imebomoa 2 Iron dome batteries

    Lo!kwahiyo wapo majini ni viumbe wema na ni marafiki wa binadamu?
  4. A

    JamiiForums Tanzania Hisbollah imebomoa 2 Iron dome batteries

    Binadamu
  5. A

    JamiiForums Tanzania Hisbollah imebomoa 2 Iron dome batteries

    U Usilinganishe but nadamu na majini,majini ni malaika wa shetani waliolahaniwa na Mungu.sisi binadamu ni wenye thamani hivyo tunapaswa kumwabudu Mungu aliye mbinguni.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

    Imelaaniwa
  7. A

    JamiiForums Tanzania Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

    Mmoja mmoja wanaanza kut...za
  8. A

    JamiiForums Tanzania Nimeona clip ya Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel anauawa na Hamas. Inatia hasira kuona tulipiga kura kuwaunga mkono

    Nimehamini Hamas ni magaidi,wanamuua mtu asiyehusika na Israel!Israel kuanzia sasa nitakutetea daima
  9. A

    JamiiForums Tanzania Urusi kaonesha mfano mbaya, Venezuela naye anafuata: Dunia inaanza kuharibika

    Iraq Kuna Kambi ya USA na hawezi kukaa bure,usalama na mafuta
  10. A

    JamiiForums Tanzania Urusi kaonesha mfano mbaya, Venezuela naye anafuata: Dunia inaanza kuharibika

    Upo Kwel kbs,mwaka 2007 nilikuwa Rwanda nilinunua gazeti la newtimes.muhariri aliweka kichwa Cha Habari kuwa kujiunga kweku EA Wacha waturudishie ardhi yao.sasa Habari yenyewe walizungumzia wilaya ya karagwe na ngara jinsi ilivyo na ukaribu na kifanana mazingira mpk majina na vitu vingi tu pia...
  11. A

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Nahisi zaidi ya elfu 4
  12. A

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa waziri wa Hamas akiri yale mauaji yalikuwa kosa, yamesababisha Gaza ifutwe

    Ataokoka au kuslim?hapo sijaelewa
Back
Top Bottom