Kwani tatizo liko wapi hapo mkuu? Wewe unajua Iroin dome air defense systems ilikuwa umbali gani kutoka mipakani mwa Gaza na zipo ngapi, hivi una uhakika ni teknolojia hipi iliyo tumika kushabulia Iron Dome - no research no comment, mara nyingi uwa unakereka sana mtu aki- comment chochote kuhusu Israel au Uncle SAM!!
Mleta mada kazungumzia
battery ya Iron Dome. Unaijua battery wewe, au unadhani amezungumzia launcher moja?
Battery ina launchers nne, bado missile command systems na radar na vitu vingine. Hizo launchers na systems ziko separated kilometers kadhaa mbalimbali. How comes artillery inaharibu battery nzima? Kitu pekee kinaweza haribu battery nzima ni airstrike ya ndege, sio artillery.
Labda nikuhoji swali dogo na ni wapi hasa Iron Dome iliwahi kuonyesha umahili wake katika masuala ya Air Defense dhidi ya Rockets mahili za kileo zaidi ya kuenyeshwa na home made vijiroketi vya Hamas na Hazibolla? - Iron Dome, my foot.
Iron Dome ina success rate ya 90%. Nitajie any air defense system duniani yenye hit rate kubwa zaidi ya Iron Dome, itafute popote pawe China, Russia, Iran, Turkey, US au wapi.
Just imagine for a second - We arterially ya Iranian made inasambaratisha highly hyped "Iron Dome" unafikiri ni kombora hilo la Iran ni la kawaida kweli?? Msiwachezee Wairan nawambieni.
Artillery sio
kombora bali ni mzinga, kuna tofauti sana kati ya missile na rocket. Hata artillery iwe rocket artillery bado iko limited tofauti na missile.
We unafikiri kwa nini makambi mawili ya kijeshi yalipo shambuliwa na roketi za Iran na kujeruhi wanajeshi wengi wa USA mbona Merikani ilikaa kimya,
Hizo ni rockets, sio artillery shells tunazosema hapa. Sasa ulitaka Marekani ifanyeje wakati rockets zimepiga kwenye rami na hakuna majeruhi wala vifo wala uharibifu wa zana yoyote ya Marekani.
Roketi uchwara hazijaharibu kitu, wakati one Hellfire missile ya Marekani ilimchinja Jenerali Qassem Soleimani wa Iran. Na bado Iran kwa kiwewe ikajitutumua ikalipua ndege yao ya abiria mjini Tehran, wakafa watu zaidi ya 150. Kombora moja la Marekani lenye kilo hata mia hazifiki lilileta madhara hayo ila makombora yenye tani kadhaa yaliishia kutimua vumbi kwenye kambi ya Marekani.
Kamuue Jenerali wa Marekani uone utakavyokaangwa.
Wairan vile vile waliwahi kuishusha Drone ya kijasusi ya teknolojia ya hali ya juu wakaipeleka kwenye maabara na kuifanyia uchunguzi wa kiufundi, baada yamuda na wao wakaunda ya kwao , labda hapa nirudie tena kwa kusema kwamba Drone hiyo nasema ilishushwa kisayansi hawakuitungua, Drone nyingine ya teknolojia ya kawaida ilitunguliwa tu na jeshi la Iran, katika matukio hayo yote mbona sikuona Merikani analipiza kisasi kwa kuishambulia Iran??
Hayo ndio maelezo ya artillery za Iran kushambulia battery ya Iron Dome?
Any artillery strike haiwezi ua battery ya Iron Dome au air defense battery nyingine yeyote, haijarishi ni ya nchi gani. Battery ya artillery iko very separated hata ukitumia missiles, ndio maana siku zote utaona Ukraine au Russia zimeharibu launcher moja iliyokuwa karibu au iliyopatikana, au radar moja. Ila kuharibu battery nzima ni ndoto za kijinga