Recent content by _KINGO_

  1. _KINGO_

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mimi pia mkuu. Nataka nimuenjoy mwanamke wote na pote :D:D:D. Alininyima ila naona pia naye alijinyima.
  2. _KINGO_

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kuna wakati niliishi kwenye nyumba kubwa eneo fulani la kishua. Kulikuwa na nyumba kubwa yenye vyumba 3 vya kulala, sebule, jiko na dining na bafu. Kwa nje, nyuma ya garage kulikuwa na vyumba vya kulala 2 na bafu. So jumla bedrooms 5 na tulikuwa majamaa 5 tumepanga hivyo vyumba, tunashare hizo...
  3. _KINGO_

    Na hizi ndio 20 Tv series kali of all the time

    Zangu nilizopenda na sijaziona hapa... 1. HUSTLE 2. PSYCH 3. BURN NOTICE 4. LEVERAGE 5. C.S.E: MIAMI 6. WORST WEEK (Season moja tu ila sidhani kama kuna show niliyowahi kuipenda zaidi a hii) 7, NIKITA 8. RENEGADE
  4. _KINGO_

    Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

    No worries mate. Naenjoy sana maelezo Yako na enthusiasm Yako juu ya hiki kiumbe. Umeifanya siku yangu kuwa nzuri sana nimecheka vya kutosha 😆😆
  5. _KINGO_

    Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

    Kuna ukweli hapo ila ndiyo maana nikaweka takwimu. Kitakwimu pia, binadamu anaekimbia hatari Huwa ana mbio zaidi ya kawaida. Ila kiuhalisia kiwastani, komodo wa mbio kuliko binadamu wa kawaida
  6. _KINGO_

    Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

    Naelewa mkuu. Ni kwamba tu pia nilikusoma ulisema kama vile siyo jamii Moja Kwa maana komodo ni maradufu zaidi ya kenge wengine ila pia ukasema 'ni komodo na ni dragon' kama vile komodo ni kiumbe kingine kabisa na siyo kwamba ni kenge anayeitwa komodo dragon. ile 'na ni dragon' niliona niwatoe...
  7. _KINGO_

    Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

    Hapana. Labda baadhi ya vimbwa vidogo vinene kama vi bulldog ila Kwa Hawa mbwa tuliozoea, mbwa ana mbio zaidi sana tu
  8. _KINGO_

    Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

    Usijidanganye hapo. Hawa jamaa Wana mbio sana kuliko binadamu japo ni Kwa muda mfupi (hawana pumzi). Akiwa mbali na wewe unaweza ukapona kama utajitahidi ila akikumemdea akakukaribia na kukukimbiza basi jikabidhi tu Kwa muumba. Tuongee statistics/ facts.... Average speed ya mwanaume ni 13kph...
  9. _KINGO_

    Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

    Mchango wangu mdogo... Huyu mwamba ni jamii ya mijusi🤭🤭, hasa kenge (monitor lizard). Anaitwa komodo dragon Kwa sababu anapatikana Kwa wingi visiwa vya komodo au waligundulika visiwa hivyo. Dragon ni mythical creature tu kama walivyo sphinx na pegasus ila huyu jamaa amepewa jina la utani la...
  10. _KINGO_

    Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

    vitu nivipendavyo mimi hivi. mbongo huyu siyo?
  11. _KINGO_

    Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

    Asante mkuu. Tuenjoy bila kudhalilisiha na kuuza dada zetu. Of course kuna njia za kupeana connection, mfano inbox.
  12. _KINGO_

    Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

    hehehe kabisa yaani. pia, wanasema biashara matangazo. hapo mtu anaweza kutathmini ulaini wa bidhaa, wepesi wa muuzaji pamoja na ubunifu wake, nk...
Back
Top Bottom