We uende usiende utaona namba zitakovyo shoot , kituo kimeandikisha wapiga kura 201 ila kura zimepigwa 1001 hizo 800 usiulize zimetoka wapi, goli la Mkono , Mwendo ni ule ule Malizia __M mbele kwa mbeleeee...,,
In kaptain Komba Voice...
Patam hapo , Mie simo
Preshaa nyingi visukari vimepanda jasho mpka la meno , sie tuliangalia gem huku tukitabasam heri hamsin nzima kuliko Mia mbovu asee....
Za kuambiwa chamganya na zako.....
Taaa taaa traaa taa , risasi zimepita aiseee hili chaka nililoingia na risasi kunipunyua punyua ni hatari , kweli mali na utajiri hutafutwa kwa jasho na dam, Hapa kama una roho ya huruma unaanza kufa wewe
I wish ningepata konection niende manake kulivo changamka hadi raha , Braza we mwaga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.