Recent content by 7ya

  1. 7ya

    Msaada kwa anayefahamu chuo cha afya Mpwapwa

    Nisaidie mawasiliano yao mkuu kama unayo
  2. 7ya

    Msaada kwa anayefahamu chuo cha afya Mpwapwa

    Kwa mwenye kufahamu mpwapwa school of nursing anielekeze jinsi ya kufika
  3. 7ya

    Tuliochaguliwa Mpwapwa TC tukutane hapa

    Kichwa kimejitosheleza
  4. 7ya

    Natafuta mke(nipo very serious very serious)

    Ndg wana JF, Habari za jioni! Kama ilivyo title hapo juu. Kwa kunifahamu zaidi nina umri wa miaka 21, ni mmasai, nina shahada ya masomo ya sayansi (chem&maths) ni mkristu kwa hayo machache yanawatosheni na kwa aliye tayari na mwenye malengo ya kuwa mke mwema anitafute kwa mawasiliano nitakayotoa.
  5. 7ya

    Je naweza kuapply kozi gani za Afya?

    asante sana mkuu but nisaidie nawasiliano yao kama unazo niweze pata wasiliana nayo
  6. 7ya

    Je naweza kuapply kozi gani za Afya?

    vpi procurement naweza anza na ngazi ya diploma
  7. 7ya

    Je naweza kuapply kozi gani za Afya?

    sasa ni kitu gani kitanifaa na matokeo hayo wakuu?
  8. 7ya

    Je naweza kuapply kozi gani za Afya?

    sasa nifanyeje may be
  9. 7ya

    Je naweza kuapply kozi gani za Afya?

    Mimi nimehitimu kidato cha nne mwaka wa 2014 nikiwa na ufaulu kama ufuatao: Chemistry:B Biology---:B English----:B Mathematics: C History----: D Geography: C Kiswahili--:C Civics: D Wanajf mkiwa washauri wa mambo ya elimu natambua kuna mnaofahamu jambo hili kiundani. Je naweza kuapplly course...
  10. 7ya

    Kwa anayefahamu chuo cha Mpwapwa TC

    Nimo kati ya waliochaguliwa kwenda chuo tajwa hapo juu!!! Ila kiukweli sijui ni lini watafungua. Kwa anayejua atusaidie tafadhali.
  11. 7ya

    Orodha ya majina ya wanachuo wanaorudi kusoma stashahada maalum ya ualimu (UDOM)

    Duh! afadhali japo kuna ishu moja cjui kama watapata mikopo je kuna mwenye kujua hilo
  12. 7ya

    Msaada: Kwa matokeo haya, kuna uwezekano wa kusomea medical officer chuo cha serikali?

    kwa mwanafunzi wa kidato cha NNE ambaye hakusoma physics ila chemistry na biology kafaulu vizuri anaweza kusoma medical officer chuo cha serikali?
Back
Top Bottom