Ndg wana JF,
Habari za jioni!
Kama ilivyo title hapo juu. Kwa kunifahamu zaidi nina umri wa miaka 21, ni mmasai, nina shahada ya masomo ya sayansi (chem&maths) ni mkristu
kwa hayo machache yanawatosheni na kwa aliye tayari na mwenye malengo ya kuwa mke mwema anitafute kwa mawasiliano nitakayotoa.
Mimi nimehitimu kidato cha nne mwaka wa 2014 nikiwa na ufaulu kama ufuatao:
Chemistry:B
Biology---:B
English----:B
Mathematics: C
History----: D
Geography: C
Kiswahili--:C
Civics: D
Wanajf mkiwa washauri wa mambo ya elimu natambua kuna mnaofahamu jambo hili kiundani.
Je naweza kuapplly course...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.