wewe ni mtu mjinga na mtu duni kabisa.... hapo umejaribu kung'ata na kupuliza, haueleweki, ila shida yako ni na wewe ukumbukwe siku moja, too bad hakuna anaeweza kukumbuka sababu sasa umekwisha zeeka.0
Likud nakukubali sana, mie hua ni shabiki yako for years now, siwezi kuona uzi umeandika alaf nikaupita, man i like you... ila leo umeandika ujinga sana... mifano haifanani na hausemi kipi sahii kingepaswa kufanyika... anyways, you got a bad day at the office....
Hawa ni wale wasanii ambao bado hawajaukubali ukweli na kila wakihojiwa wanasema wanaanda album au kuna kazi zao zinakuja mashabiki wasikilizie tu;
1. Q Chief
2. TID
3. Baraka da Prince
4. Young Killa
5. Mh. Temba
6. Chege
7. Rich Mavoko
8. Aslay
9. Maua Sama
10. AY
11. Fid Q
12. Joh Makini
13...
Wewe ni mjinga wa mwisho... ni kwanini mnaandika
Makala zenu bila ku balance ukweli na uhalisia... kwa mfumo ulivyo ni kipi kinachokuonesha wewe mwandishi mjinga kwamba chadema wakishiriki watatangazwa kushinda??? Yaan kwenye unyekiti tu wa mtaa watu wameuwawa na wale wa chadema walioshinda...
siku nilipogundua hana akili ni pale aliposema alimuua kibaka na kuanza kusheherekea! serius tunakuaje na nchi kiongozi ana jisifu hadharani kuua?? huu ujinga waafrica utawaisha lini??? Kwa kauli yake hio, iki kimkuu wa mkoa kingekua kipo jela sasa iv... kwa hakika damu ya kijana yule...
Paskali wewe ni mtu fake sana... hauko genuine.... yanayokutokea ni sawa tu... ujuaji mwingi na uchawa uchawa ambao haujawai ata kukufikisha popote... unasema ktk watu maarufu na wewe humo, nani anakujua nchi hii??? wewe sio mtu maarufu wala. Lini wewe uliwai kumsema vibaya magufuli ata ukafikia...
Kikosi changu star ni izak tu na ana rate 81... alaf now nipo tier 6 na wachezaji moderate karibu wote.... kipigo nnachogawa ni cha kipekee sana, japo kuna wababe nimekubali.
Nilikua chimbo nagawa dozi tu sina mambo mengi... jana nimeanza kucheza za online hakuna ata mmoja aliepata sare... nimeanza jana naona leo niko tier 10 na basi niko bize.. nikiwa free nadhani ntakua tier 1 ndani ya masaa mawili tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.