Recent content by 5525

  1. 5

    Iran imejichokea kupitiliza

  2. 5

    Mpaka sasa Matokeo Ubaoni Vita ya Iran Vs Israel

    Si dhani kama uliandika tafsiri sahihi, hakuna neno blockade katika script ya maanidish nadhan unamjazia maneno mdomoni
  3. 5

    Mpaka sasa Matokeo Ubaoni Vita ya Iran Vs Israel

    chanzo tafadhali., usimlishe maneno
  4. 5

    Ukisikia Total-Blockade ndiyo hii sasa, Mlango bahari wa Hormuz hapiti yeyote bila idhini ya US!!!

    Ata huko kwenu si munauwana pia mnakatana viungo vya mwili mpaka vya watoto wachanga munapeleka kwa mganga eti mtapata utajiri, na sikuhizi mnaiba nyeti za wanaume sasa nyinyi mnabwabwaja nini?
  5. 5

    Ukisikia Total-Blockade ndiyo hii sasa, Mlango bahari wa Hormuz hapiti yeyote bila idhini ya US!!!

    ww unaishi dunia ipi mpaka leo hujui US ndege zao zimeangushwa kama nzige? hujaona US wakiwasaka marubani wao huko maporini kuwaokoa? ivi ulivishuhudia hivi vita ukiwa wapi? kumbe ww ni inferior kiasi hicho? mpaka nikutumie mabaki ya ndege hapa?
  6. 5

    Rais wa Marekani Donald Trump aagiza boat za Iran zilizoko Mlango bahari wa Hormuz zizamishwe!!

    Wewe tupe definintion ya Blockade., halafu utupe na maana ya Stone Age maana trump alisema huko nyuma ataifanya Iran irudi zama za Stone Age je sasaivi Iran ni Stone Age?? alisema anataka oil ya Iran je ameipata? alisema anataka Kharg Island je amekipata? Alisema anata madini ya Iran...
  7. 5

    Ukisikia Total-Blockade ndiyo hii sasa, Mlango bahari wa Hormuz hapiti yeyote bila idhini ya US!!!

    Kwani US na mayahudi wamepoteza nini, US ilipoteza wanajeshi pia, makomando wao walirejeshwa US kwenye masanduku, US ilipoteza ndege vita zao ambazo walisema hazionekani kwenye rada yoyote kwenye mfumo wowote nafkiri uliona mabaki ya ndege kama F-35 hizi ni ndege zimeigarimu US mabilion ya dola...
  8. 5

    US Tunawasubiri Iran waje kwenye mazungumzo

  9. 5

    Rais wa Marekani Donald Trump aagiza boat za Iran zilizoko Mlango bahari wa Hormuz zizamishwe!!

    Je zimezamishwa? fuatilia Yeye amepaki mameli yake nje ya maji ya Iran kwanini hakusogea pale Hormuz? ukiambiwa jiambie
  10. 5

    Ukisikia Total-Blockade ndiyo hii sasa, Mlango bahari wa Hormuz hapiti yeyote bila idhini ya US!!!

    Jifunze tafsiri ya neno gaidi huenda ww na familia yako pia ni magaidi, meli za marekani zinasindikizwa ni makomandoo wa jeshi la Iran na zinapita eneo lolote watakalo, ukisikia US amefanya blocked sio katika maji yaliyo ndani ya maji ya Iran, ni International waters, Iran huenda sasa ikawa...
  11. 5

    Israel yawaomba msamaha Wakristo wote kwa kitendo cha askari wa IDF kuvunja sanamu ya Yesu msalabani

    Tuliwaambia mukadai hao ni wenzenu, dini yao ni Judaysim wanauchukia zaidi ukiristo kuliko dini yoyote
  12. 5

    Israel yawaomba msamaha Wakristo wote kwa kitendo cha askari wa IDF kuvunja sanamu ya Yesu msalabani

    Huyo muokozi wenu wamekuwa wakimtemea mate miaka yote, mazayuni na ukiristo ni kusi na kaskazi tuliwaambia hapa, makanisa walipiga moto kwanza ndio wakaanza kuuwa wapelestina, dini yao inaitwa Judaysim wanasema yesu ni mtoto wa zinaa, lakini wakiristo wa humu jf hamuelew chochote kushabikia hawa...
  13. 5

    Mkuu wa IEA Apendekeza Bomba Jipya la Mafuta Kupita Hormuz Ila kuwakomesha Iran

    Bado Homurz itahitajika kutokana na geographia, Iran ameshikilia kete muhimu sana watahangaika sana
  14. 5

    BBC: Meli zashambuliwa Hormuz, nyengine zageuza baada ya onyo la Iran

    Inaonekana US hawako tayari kwa maridhiano, mlango ulifunguliwa rasmi lakin US wakaendelea kupaki meli zao huko bahari kuu sasa umefungwa tena rasmi.
Back
Top Bottom