Recent content by 5525

  1. 5

    JamiiForums Tanzania Gawio la Yas halifai kwa sisi waislamu

    Watu wa ukumbi huu toka juzi naona tunapata gawio la YAS wanaita HALAL, hizi ni hela ambazo binafsi sijui zinatoka wapi wala kazi ipi nilifanya mpaka nikapokea malipo haya, kwa lugha rahisi hii ni riba na kwa sisi waislam riba imekatazwa kwa mujibu wa Imani yetu ya Dini ya Kiislam, YAS waache...
  2. 5

    JamiiForums Tanzania Houthis yalipua matenki mafuta ya ARAMCO, Saudia

    Houthis ni jeshi kamili hakuna kenge anayeweza kuwasambaratisha, halaf saudia arabia hawana jeshi labda wapate msaada kutoka mataifa mengine
  3. 5

    JamiiForums Tanzania Israel anataka kuiangusha Dola ya marekani (world superiority) marekani ameshtuka kabla mambo hayajaharibika

    kwa mantiki ya hivi vita Iran ndiye aliye miliki uchumi wa dunia, trump alikuwa ana haha kukubaliana na iran kuliko vita, kwa vita US alishindwa mapema sana
  4. 5

    JamiiForums Tanzania Mbunge Kampala: Dar ni Kiwanda kikubwa sana cha kuzalisha Mashoga, nini kauli ya Serikali?

    Mwakiyembe alisema bara imechafuka kuna vyuo pia
  5. 5

    JamiiForums Tanzania Mbunge Kampala: Dar ni Kiwanda kikubwa sana cha kuzalisha Mashoga, nini kauli ya Serikali?

    wakati mwengine hela, hawa wabara hela wanaipenda sana
  6. 5

    JamiiForums Tanzania Mbunge Kampala: Dar ni Kiwanda kikubwa sana cha kuzalisha Mashoga, nini kauli ya Serikali?

    Bongo huko ndio maana wanalegeza suruali
  7. 5

    JamiiForums Tanzania Mbunge Kampala: Dar ni Kiwanda kikubwa sana cha kuzalisha Mashoga, nini kauli ya Serikali?

    Zanzibar ushoga wapi na wapi, huko huko ndiko kwenye vyuo
  8. 5

    JamiiForums Tanzania Mbunge Kampala: Dar ni Kiwanda kikubwa sana cha kuzalisha Mashoga, nini kauli ya Serikali?

    Wanaukumbi kuna hoja hii bungeni kumbe wenzetu wanazalisha sana mashoga. anadai huko mtaani kuna mashoga wengi sana, https://www.facebook.com/reel/849500724676882 https://www.facebook.com/reel/849500724676882
  9. 5

    JamiiForums Tanzania Utawala Iran wapasuka! Vikundi vya ndani vyaleta taharuki, wakipinga Spika na Waziri kukubali kukaa mezani na Marekani kwa mazungumzo

    Haya ni maandamano ya yanayoendelea kitambo kuunga mkono IRGC
  10. 5

    JamiiForums Tanzania Naomba kuelekezwa chimbo la kujifunzia lugha ya kifaransa

    Nenda Zanzibar ndio nyumbani kwa kila kitu, nilijifunza spanish kwa kwa wiki chache sana
  11. 5

    JamiiForums Tanzania Baada ya Marekani kuudhibiti Mlango bahari wa Hormuz, Rais Trump aanzisha Freedom-Poject kwenye Mlango huo

    Ukiambiwa jiambie ikiwa US atasindikiza meli kulazimisha kupita Hormuz kutoka bahari kuu aliko yeye maana yake hiyo ni vita inaangaka tena kama hiyo vita iliyopiganwa kwa siku 38., Lazima ufahamu eneo husika la hormuz kwenye ule mpindo hasa wa huo mlango wa bahari upo chini ya jeshi la Iran...
  12. 5

    JamiiForums Tanzania Hezbullah anavyo mcharaza Israel

    Anayecharazwa ni nani emu acha jazba kwanza nyoosha maelezo vizuri anayecharazwa ni Hizbollah au ni Israel mana maelezo yako ndani ni tofauti na tittle yako. ukija hapa utulie ili tuweze kuchangia hoja yako
Back
Top Bottom