Ukiambiwa jiambie ikiwa US atasindikiza meli kulazimisha kupita Hormuz kutoka bahari kuu aliko yeye maana yake hiyo ni vita inaangaka tena kama hiyo vita iliyopiganwa kwa siku 38., Lazima ufahamu eneo husika la hormuz kwenye ule mpindo hasa wa huo mlango wa bahari upo chini ya jeshi la Iran...
Anayecharazwa ni nani emu acha jazba kwanza nyoosha maelezo vizuri anayecharazwa ni Hizbollah au ni Israel mana maelezo yako ndani ni tofauti na tittle yako. ukija hapa utulie ili tuweze kuchangia hoja yako
Blocked iliyo bahari kuu sawa na wewe uliye funga barabara ukiwa dodoma mjini lakini bus linaenda Mombasa it is good for nothing, zaidi ya meli 8 za Iran zimepita mchana kweupe hakuna lolote, wanaoumia ni hao shoga zako wa ulaya ambao wao wanategemea Hormuz iliyodhibitiwa na Iran kupitisha meli...
Eleza kama kuna kambi yoyote ile ya Marekani iliyokuwa huko Mashariki ya kati ambayo haikupigwa kiberiti ni Iran
Mojtaba ndio kiongozi wa taifa lenye nguvu zaidi ulimwenguni
Porojo jingi hamna chanzo chochote, uchumi unakuwa vipi nchi iliyopigwa mabomu kwenye vyanzo vyake vyote mpaka viwanda vya kusafishia mafuta mpaka wamelazimika kuomba msaada kutoka US kupambana na Iran na pia wakashindwa wakalazimika kusitisha vita.
Vita ingeendelea huko uyahidini sasa...
Waziri wa Ulinzi wa Marekani Pete Hegsett ametangaza katika mkutano na wajumbe wa Congress kwamba kujenga upya hifadhi za silaha za Marekani, ambazo zimepungua kufuatia vita na Iran na migogoro mingine ya kijeshi katika miaka ya hivi karibuni, inaweza kuchukua "miezi hadi miaka," kulingana na...
Trump ndio rais wa kwanza duniani ambaye anabadilisha maneno , vita alivyoshindwa anasema yeye kashinda, Mlango wa bahari upo chini ya IRGC Iran yeye anasema upo chini yake, anasema Iran kaidhoofisha lakini Teheran wanasherehekea na kufurahi leo siku ya 60 na kulipongeza jeshi lao kwa ushindi...
Iran ni giant ni superpower tayari, sema alikuwa amejificha lakini kupitia vita hii ndio dunia imeelewa uwezo wa Iran, US na mshirika wake Israel wali-underestmate Iran ukweli umejulikana ndio mana kiongozi wa Ujerumani amekiri Iran is superpower already, Urusi anachukua silaha hoyo kutoka Iran...
Unajuwa idadi halisi ya wanajeshi wa US waliouliwa na kujeruhiwa zaidi ya 400
Nilifikiri ungekuja na malengo ya US hapa kwa Iran halafu ukaeleza walifanikiwa lipi ukitoa hilo la kuuwa kiongozi, US walitaka regime change, oil, Kharg Island, Walitaka madini yaliyoyeyushwa, wakasema wanataka Iran...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.