Ata huko kwenu si munauwana pia mnakatana viungo vya mwili mpaka vya watoto wachanga munapeleka kwa mganga eti mtapata utajiri, na sikuhizi mnaiba nyeti za wanaume sasa nyinyi mnabwabwaja nini?
ww unaishi dunia ipi mpaka leo hujui US ndege zao zimeangushwa kama nzige? hujaona US wakiwasaka marubani wao huko maporini kuwaokoa? ivi ulivishuhudia hivi vita ukiwa wapi? kumbe ww ni inferior kiasi hicho? mpaka nikutumie mabaki ya ndege hapa?
Wewe tupe definintion ya Blockade., halafu utupe na maana ya Stone Age maana trump alisema huko nyuma ataifanya Iran irudi zama za Stone Age je sasaivi Iran ni Stone Age?? alisema anataka oil ya Iran je ameipata? alisema anataka Kharg Island je amekipata? Alisema anata madini ya Iran...
Kwani US na mayahudi wamepoteza nini, US ilipoteza wanajeshi pia, makomando wao walirejeshwa US kwenye masanduku, US ilipoteza ndege vita zao ambazo walisema hazionekani kwenye rada yoyote kwenye mfumo wowote nafkiri uliona mabaki ya ndege kama F-35 hizi ni ndege zimeigarimu US mabilion ya dola...
Jifunze tafsiri ya neno gaidi huenda ww na familia yako pia ni magaidi, meli za marekani zinasindikizwa ni makomandoo wa jeshi la Iran na zinapita eneo lolote watakalo, ukisikia US amefanya blocked sio katika maji yaliyo ndani ya maji ya Iran, ni International waters,
Iran huenda sasa ikawa...
Huyo muokozi wenu wamekuwa wakimtemea mate miaka yote, mazayuni na ukiristo ni kusi na kaskazi tuliwaambia hapa, makanisa walipiga moto kwanza ndio wakaanza kuuwa wapelestina, dini yao inaitwa Judaysim wanasema yesu ni mtoto wa zinaa, lakini wakiristo wa humu jf hamuelew chochote kushabikia hawa...
Unauliza swali ama vipi, mkuu Marekani anadhibiti mlango hewa, US wamenda kujitega maeneo ya mbali huko bahari kuu International water wamekimbia moto wa Iran karibu na mlango wa Homorz, ni kama wewe upo Dodoma unayazuia mabasi ya abiria yasiende mikoa mingine
Wapo wanajeshi wa marekani waliokufa ingawa walidanganya sana idadi, hivyo vifaa jeshi vinathamani zaidi kwao na pigo kubwa, zile ndege zinathamani kubwa sana amabzo US walisema zilitengenezwa kwa utaalam wa hali ya juu sana ambapo haziwezi kuonekana na rada yoyote wala mfumo wowote ule zikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.