Recent content by 5525

  1. 5

    JamiiForums Tanzania Baada ya Marekani kuudhibiti Mlango bahari wa Hormuz, Rais Trump aanzisha Freedom-Poject kwenye Mlango huo

    Ukiambiwa jiambie ikiwa US atasindikiza meli kulazimisha kupita Hormuz kutoka bahari kuu aliko yeye maana yake hiyo ni vita inaangaka tena kama hiyo vita iliyopiganwa kwa siku 38., Lazima ufahamu eneo husika la hormuz kwenye ule mpindo hasa wa huo mlango wa bahari upo chini ya jeshi la Iran...
  2. 5

    JamiiForums Tanzania Hezbullah anavyo mcharaza Israel

    Anayecharazwa ni nani emu acha jazba kwanza nyoosha maelezo vizuri anayecharazwa ni Hizbollah au ni Israel mana maelezo yako ndani ni tofauti na tittle yako. ukija hapa utulie ili tuweze kuchangia hoja yako
  3. 5

    JamiiForums Tanzania Trump adai anapitia mapendekezo ya amani ya Iran kama yanaweza kukubalika, huku akitishia mashambulizi

    Trump hana mpya, aliingia vitani na Iran akiwa na malengo mengi kama regime change nk hakufanikiwa hata moja zaidi ya huo mzingiro munaodai
  4. 5

    JamiiForums Tanzania Iran yaumizwa na Total-Blockade ya Marekani yaomba mazungumzo!!

    Hormuz ipo chini ya IRGC, US wapo mbali ya maji ya Iran wametega huko kama US wangekuwa hapo sasa moto ungekuwa unawaka ww huelew chochote
  5. 5

    JamiiForums Tanzania Iran yaumizwa na Total-Blockade ya Marekani yaomba mazungumzo!!

    Blocked iliyo bahari kuu sawa na wewe uliye funga barabara ukiwa dodoma mjini lakini bus linaenda Mombasa it is good for nothing, zaidi ya meli 8 za Iran zimepita mchana kweupe hakuna lolote, wanaoumia ni hao shoga zako wa ulaya ambao wao wanategemea Hormuz iliyodhibitiwa na Iran kupitisha meli...
  6. 5

    JamiiForums Tanzania Kiongozi wa Iran, Motaba Khamenei awaambia mataifa ya Ghuba kwamba Marekani haiwezi kuwalinda. Iran inaweza

    Eleza kama kuna kambi yoyote ile ya Marekani iliyokuwa huko Mashariki ya kati ambayo haikupigwa kiberiti ni Iran Mojtaba ndio kiongozi wa taifa lenye nguvu zaidi ulimwenguni
  7. 5

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa Israel wazidi kupaa licha ya Vita vyake na Iran

    Porojo jingi hamna chanzo chochote, uchumi unakuwa vipi nchi iliyopigwa mabomu kwenye vyanzo vyake vyote mpaka viwanda vya kusafishia mafuta mpaka wamelazimika kuomba msaada kutoka US kupambana na Iran na pia wakashindwa wakalazimika kusitisha vita. Vita ingeendelea huko uyahidini sasa...
  8. 5

    JamiiForums Tanzania Marekani kujenga upya hifadhi yake ya Silaha Mashariki ya Kati baada vita na Iran

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani Pete Hegsett ametangaza katika mkutano na wajumbe wa Congress kwamba kujenga upya hifadhi za silaha za Marekani, ambazo zimepungua kufuatia vita na Iran na migogoro mingine ya kijeshi katika miaka ya hivi karibuni, inaweza kuchukua "miezi hadi miaka," kulingana na...
  9. 5

    JamiiForums Tanzania Trump abadilisha jina la Hormuz na kuwa Strait of Trump

    Trump ndio rais wa kwanza duniani ambaye anabadilisha maneno , vita alivyoshindwa anasema yeye kashinda, Mlango wa bahari upo chini ya IRGC Iran yeye anasema upo chini yake, anasema Iran kaidhoofisha lakini Teheran wanasherehekea na kufurahi leo siku ya 60 na kulipongeza jeshi lao kwa ushindi...
  10. 5

    JamiiForums Tanzania Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz anasema Iran inaidhalilisha Marekani

    Iran ni giant ni superpower tayari, sema alikuwa amejificha lakini kupitia vita hii ndio dunia imeelewa uwezo wa Iran, US na mshirika wake Israel wali-underestmate Iran ukweli umejulikana ndio mana kiongozi wa Ujerumani amekiri Iran is superpower already, Urusi anachukua silaha hoyo kutoka Iran...
  11. 5

    JamiiForums Tanzania Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz anasema Iran inaidhalilisha Marekani

    Unajuwa idadi halisi ya wanajeshi wa US waliouliwa na kujeruhiwa zaidi ya 400 Nilifikiri ungekuja na malengo ya US hapa kwa Iran halafu ukaeleza walifanikiwa lipi ukitoa hilo la kuuwa kiongozi, US walitaka regime change, oil, Kharg Island, Walitaka madini yaliyoyeyushwa, wakasema wanataka Iran...
  12. 5

    JamiiForums Tanzania Iran imejichokea kupitiliza

  13. 5

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa Matokeo Ubaoni Vita ya Iran Vs Israel

    Si dhani kama uliandika tafsiri sahihi, hakuna neno blockade katika script ya maanidish nadhan unamjazia maneno mdomoni
Back
Top Bottom