Recent content by 5525

  1. 5

    Mpaka sasa Matokeo Ubaoni Vita ya Iran Vs Israel

    chanzo tafadhali., usimlishe maneno
  2. 5

    Ukisikia Total-Blockade ndiyo hii sasa, Mlango bahari wa Hormuz hapiti yeyote bila idhini ya US!!!

    Ata huko kwenu si munauwana pia mnakatana viungo vya mwili mpaka vya watoto wachanga munapeleka kwa mganga eti mtapata utajiri, na sikuhizi mnaiba nyeti za wanaume sasa nyinyi mnabwabwaja nini?
  3. 5

    Ukisikia Total-Blockade ndiyo hii sasa, Mlango bahari wa Hormuz hapiti yeyote bila idhini ya US!!!

    ww unaishi dunia ipi mpaka leo hujui US ndege zao zimeangushwa kama nzige? hujaona US wakiwasaka marubani wao huko maporini kuwaokoa? ivi ulivishuhudia hivi vita ukiwa wapi? kumbe ww ni inferior kiasi hicho? mpaka nikutumie mabaki ya ndege hapa?
  4. 5

    Rais wa Marekani Donald Trump aagiza boat za Iran zilizoko Mlango bahari wa Hormuz zizamishwe!!

    Wewe tupe definintion ya Blockade., halafu utupe na maana ya Stone Age maana trump alisema huko nyuma ataifanya Iran irudi zama za Stone Age je sasaivi Iran ni Stone Age?? alisema anataka oil ya Iran je ameipata? alisema anataka Kharg Island je amekipata? Alisema anata madini ya Iran...
  5. 5

    Ukisikia Total-Blockade ndiyo hii sasa, Mlango bahari wa Hormuz hapiti yeyote bila idhini ya US!!!

    Kwani US na mayahudi wamepoteza nini, US ilipoteza wanajeshi pia, makomando wao walirejeshwa US kwenye masanduku, US ilipoteza ndege vita zao ambazo walisema hazionekani kwenye rada yoyote kwenye mfumo wowote nafkiri uliona mabaki ya ndege kama F-35 hizi ni ndege zimeigarimu US mabilion ya dola...
  6. 5

    US Tunawasubiri Iran waje kwenye mazungumzo

  7. 5

    Rais wa Marekani Donald Trump aagiza boat za Iran zilizoko Mlango bahari wa Hormuz zizamishwe!!

    Je zimezamishwa? fuatilia Yeye amepaki mameli yake nje ya maji ya Iran kwanini hakusogea pale Hormuz? ukiambiwa jiambie
  8. 5

    Ukisikia Total-Blockade ndiyo hii sasa, Mlango bahari wa Hormuz hapiti yeyote bila idhini ya US!!!

    Jifunze tafsiri ya neno gaidi huenda ww na familia yako pia ni magaidi, meli za marekani zinasindikizwa ni makomandoo wa jeshi la Iran na zinapita eneo lolote watakalo, ukisikia US amefanya blocked sio katika maji yaliyo ndani ya maji ya Iran, ni International waters, Iran huenda sasa ikawa...
  9. 5

    Israel yawaomba msamaha Wakristo wote kwa kitendo cha askari wa IDF kuvunja sanamu ya Yesu msalabani

    Tuliwaambia mukadai hao ni wenzenu, dini yao ni Judaysim wanauchukia zaidi ukiristo kuliko dini yoyote
  10. 5

    Israel yawaomba msamaha Wakristo wote kwa kitendo cha askari wa IDF kuvunja sanamu ya Yesu msalabani

    Huyo muokozi wenu wamekuwa wakimtemea mate miaka yote, mazayuni na ukiristo ni kusi na kaskazi tuliwaambia hapa, makanisa walipiga moto kwanza ndio wakaanza kuuwa wapelestina, dini yao inaitwa Judaysim wanasema yesu ni mtoto wa zinaa, lakini wakiristo wa humu jf hamuelew chochote kushabikia hawa...
  11. 5

    Mkuu wa IEA Apendekeza Bomba Jipya la Mafuta Kupita Hormuz Ila kuwakomesha Iran

    Bado Homurz itahitajika kutokana na geographia, Iran ameshikilia kete muhimu sana watahangaika sana
  12. 5

    BBC: Meli zashambuliwa Hormuz, nyengine zageuza baada ya onyo la Iran

    Inaonekana US hawako tayari kwa maridhiano, mlango ulifunguliwa rasmi lakin US wakaendelea kupaki meli zao huko bahari kuu sasa umefungwa tena rasmi.
  13. 5

    Trump apigwa tobo na China mbele ya kizuizi chake

    Unauliza swali ama vipi, mkuu Marekani anadhibiti mlango hewa, US wamenda kujitega maeneo ya mbali huko bahari kuu International water wamekimbia moto wa Iran karibu na mlango wa Homorz, ni kama wewe upo Dodoma unayazuia mabasi ya abiria yasiende mikoa mingine
  14. 5

    Iran Ndani ya Kibano Kikali cha Marekani, Hakuna meli yoyote inayoruhusiwa Kuingia au Kutoka Bandari za Iran

    Wapo wanajeshi wa marekani waliokufa ingawa walidanganya sana idadi, hivyo vifaa jeshi vinathamani zaidi kwao na pigo kubwa, zile ndege zinathamani kubwa sana amabzo US walisema zilitengenezwa kwa utaalam wa hali ya juu sana ambapo haziwezi kuonekana na rada yoyote wala mfumo wowote ule zikiwa...
Back
Top Bottom