Recent content by 5525

  1. 5

    Ulaya imeamini sasa Israel alikuwa sahihi baada ya Iran Kurusha kombora lenye uwezo wa kupiga nchi za ulaya km 4000 ni kosa kubwa la Iran kimkakati

    Sio kosa hata kidogo, US na Ulaya wana ia-underestamet Iran kuwa uwezo wake ni kombora la 2000km tu., sasa hii kama Iran karusha kweli kombora la 4000km adui atazidi kupata stress kwamba Iran hasomeki na anaweza kufanya makubwa zaidi hivyo watamchukulia kwa tahadhari sana. Amini usiamini Iran...
  2. 5

    Huenda Marekani hata hayo makombora ya masafa marefu hana!!

    Nafkiri wanazo lakini vita ni uchumi, Trump alipoingia madarakani aliinyima silaha hadi ukrean kwa sababu za kiuchumi ili wabadilishane watoe silaha wapate madini, US ya trump wanaangazia sana haya mambo na hivi vita vya mashariki ya kati mtego wa Marekani ilikuwa ni kuanza vita baadae awaingize...
  3. 5

    Wanafunzi wa UDOM mpo chuo kikuu hampo secondary acheni kuandika andika mitandaoni mnatia kinyaa sana

    njoo na mada iliyonyooka sio mambo ya kiskuli skuli na sekondari
  4. 5

    Marekani kuwasilisha mpango wa Vipengele 15 Kumaliza vita, Iran yadai hakutakuwa na Makubaliano kamwe

    Kiongozi mkuu wa Iran ni Mujtaba na Rais wao yupo pia, Spika wa bunge yupo, hao viongozi wanaozungumza nao nyuma ya pazia it is good for nothing as long vita inaendelea na malengo yanaendelea kutimi kwa Iran
  5. 5

    Trump amedai Iran imetoa “zawadi kubwa” kwa Marekani

    Zawadi anaendelea kupewa, habari za leo ni kwamba bunge la Israel limechomwa moto na zawadi nyengine nyingi zinakuja
  6. 5

    Marekani kuwasilisha mpango wa Vipengele 15 Kumaliza vita, Iran yadai hakutakuwa na Makubaliano kamwe

    Hakuna mpango wowote ni moto tuu, US wanajitekenya wenyewe
  7. 5

    Mkurugenzi mstaafu wa Ujasusi (CIA): Marekani na Israeli zilifanya mahesabu vibaya kuvamia Iran

    Huko kwenu wastaafu wa jeshi na usalama mnawapuuza? jiongeze
  8. 5

    Mkurugenzi mstaafu wa Ujasusi (CIA): Marekani na Israeli zilifanya mahesabu vibaya kuvamia Iran

    Kwaiyo apuuzwe siyo?! mbona huko kwenu wastaafu hamuwaachilii kabisa kabisa mnafanya namna kuwachomeka serikalini hofu yenu ni nini hasa
  9. 5

    Russia yaweka mifumo ya Pantsir juu ya jengo la Ulinzi na Jengo refu Moscow

    Nafasi za ajira zimetangazwa leo rasmi na Mrusi vijana wa umri 22 hadi 50 kujiunga na Wagner Group wakaisaidie Russia dhidi ya Ukraine, na utalipwa vizuri sana., wahi sasa nafasi ni chache usiishie tu hapa JF na Tecno yako utalipwa vizuri Rubu 240,000 kwa mwezi, Kwa ninavyokujua hutaacha hii...
  10. 5

    Urusi waanza kutafuta msaada wa wapiganaji kutokea Serbia

    Umeongea pumba sana Marekani ataingia vipi vitani bila Nato ambao wanakula posho toka kuasisiwa kwao? wewe wahi kujiungana Wagner group wametanganza nafasi za ajira utalipwa vizuri, nafasi ni chache
  11. 5

    Tundu Lissu: Nikitua tu nchini Tanzania Jumatano naenda direct kuhutubia Mkutano wa hadhara ulioandaliwa na chama, bado nadai kiinua mgongo Tsh 100mil

    Tundu Lisu is a coward master., atakuja siku mbili tatu halafu atasema kaitwa na madktari wake ubeligiji, apo tena ndio kwisha atakuja kwa kugombea urais 2025 na chadema ikikosa urais atarudi tena belgium, kumbukeni Lisu ana stahiki zote sasa akiamua kubaki belgium kama raia., shavu dodo ..,
  12. 5

    Hili ndilo kombora la x -22 lililotumika na Russia kushambulia jengo refu katika mji wa Dnieper

    Putini anauliwa askari wake zaidi ya 400 yeye anajibu kwa kuua raia., poor putin..,
  13. 5

    Hili ndilo kombora la x -22 lililotumika na Russia kushambulia jengo refu katika mji wa Dnieper

    Putini anauliwa wanajeshi wake zaidi ya 400 yeye anajibu kwa kuua raia wapatao 30 kwenye jengo
Back
Top Bottom