Watu wa ukumbi huu toka juzi naona tunapata gawio la YAS wanaita HALAL, hizi ni hela ambazo binafsi sijui zinatoka wapi wala kazi ipi nilifanya mpaka nikapokea malipo haya, kwa lugha rahisi hii ni riba na kwa sisi waislam riba imekatazwa kwa mujibu wa Imani yetu ya Dini ya Kiislam,
YAS waache...
kwa mantiki ya hivi vita Iran ndiye aliye miliki uchumi wa dunia, trump alikuwa ana haha kukubaliana na iran kuliko vita, kwa vita US alishindwa mapema sana
Wanaukumbi kuna hoja hii bungeni kumbe wenzetu wanazalisha sana mashoga. anadai huko mtaani kuna mashoga wengi sana,
https://www.facebook.com/reel/849500724676882
https://www.facebook.com/reel/849500724676882
Ukiambiwa jiambie ikiwa US atasindikiza meli kulazimisha kupita Hormuz kutoka bahari kuu aliko yeye maana yake hiyo ni vita inaangaka tena kama hiyo vita iliyopiganwa kwa siku 38., Lazima ufahamu eneo husika la hormuz kwenye ule mpindo hasa wa huo mlango wa bahari upo chini ya jeshi la Iran...
Anayecharazwa ni nani emu acha jazba kwanza nyoosha maelezo vizuri anayecharazwa ni Hizbollah au ni Israel mana maelezo yako ndani ni tofauti na tittle yako. ukija hapa utulie ili tuweze kuchangia hoja yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.