Tanzania..Tanzania 🇹🇿 nchi yangu imekuwa ya kutolewa kwa mifano mibaya namna hii 😭😭 . Msikilize kiongozi wa Upinzani Nchini Zambia.
"UNPD hawawezi kushinda uchaguzi huu, hakuna muujiza. Sasa wameamua kutumia “mbinu (formula) ya Tanzania.” Zambia si Tanzania, Zambia si Tanzania… Hii ni Zambia...
Mbona anakokoreka bas kuhusu Homourz, Ni hivi..
US pamoja na reserve aliyonayo ni kwamba yeye atalazimika awe ni supplier mkubwa hivyo stock yake itapungua kwa kasi sana, jeuri aliyonayo ni kwamba kuna vyanzo vyengine duniani ikiwemo hiyo njia kuu ya Hourmoz ambayo 25% ya mafuta duniani hupita...
Naval blockade ya US haipo kwenye mipaka ya Iran nakusudia kwenye bahari ya Iran, ipo international waters, na huko ni haki ya kila mtu kuko huru na US hawasubutu kusogelea maji ya Iran. Iran ni mwamba ameweza kuishi kwenye vikwazo vya ulimwengu kwa miaka 47 na mziki wake ndo unauona ule...
Watu wa ukumbi huu toka juzi naona tunapata gawio la YAS wanaita HALAL, hizi ni hela ambazo binafsi sijui zinatoka wapi wala kazi ipi nilifanya mpaka nikapokea malipo haya, kwa lugha rahisi hii ni riba na kwa sisi waislam riba imekatazwa kwa mujibu wa Imani yetu ya Dini ya Kiislam,
YAS waache...
kwa mantiki ya hivi vita Iran ndiye aliye miliki uchumi wa dunia, trump alikuwa ana haha kukubaliana na iran kuliko vita, kwa vita US alishindwa mapema sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.