Sio kosa hata kidogo, US na Ulaya wana ia-underestamet Iran kuwa uwezo wake ni kombora la 2000km tu., sasa hii kama Iran karusha kweli kombora la 4000km adui atazidi kupata stress kwamba Iran hasomeki na anaweza kufanya makubwa zaidi hivyo watamchukulia kwa tahadhari sana.
Amini usiamini Iran...
Nafkiri wanazo lakini vita ni uchumi, Trump alipoingia madarakani aliinyima silaha hadi ukrean kwa sababu za kiuchumi ili wabadilishane watoe silaha wapate madini, US ya trump wanaangazia sana haya mambo na hivi vita vya mashariki ya kati mtego wa Marekani ilikuwa ni kuanza vita baadae awaingize...
Kiongozi mkuu wa Iran ni Mujtaba na Rais wao yupo pia, Spika wa bunge yupo, hao viongozi wanaozungumza nao nyuma ya pazia it is good for nothing as long vita inaendelea na malengo yanaendelea kutimi kwa Iran
Nafasi za ajira zimetangazwa leo rasmi na Mrusi vijana wa umri 22 hadi 50 kujiunga na Wagner Group wakaisaidie Russia dhidi ya Ukraine, na utalipwa vizuri sana., wahi sasa nafasi ni chache usiishie tu hapa JF na Tecno yako utalipwa vizuri Rubu 240,000 kwa mwezi, Kwa ninavyokujua hutaacha hii...
Umeongea pumba sana Marekani ataingia vipi vitani bila Nato ambao wanakula posho toka kuasisiwa kwao? wewe wahi kujiungana Wagner group wametanganza nafasi za ajira utalipwa vizuri, nafasi ni chache
Tundu Lisu is a coward master., atakuja siku mbili tatu halafu atasema kaitwa na madktari wake ubeligiji, apo tena ndio kwisha atakuja kwa kugombea urais 2025 na chadema ikikosa urais atarudi tena belgium, kumbukeni Lisu ana stahiki zote sasa akiamua kubaki belgium kama raia., shavu dodo ..,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.