Iyo kuomba ruhusa yoote ni woga uliopitiliza, CIA aliyetoa siri ya mashambulio makali kutoka Iran dhidi ya Israel na kwenye kambi za Marekani zile siku 12 za hivi karibuni amefukuzwa kazi wiki iliyopita
Wataishia kuzunguka tu China ni Taifa lenye hofu na woga wa hali ya juu kabisa linapokuja suala la kupambana na US kwenye vita., China wenyewe imezungukwa pia tayari nafkiri hii ndio sababu, jirani wa china kama Australia upande ule, South Korea, Japan na hao Taiwan wenyewe wote ni vibaraka...
Sawa kwa Quran: Je kwa biblia katika utafiti wako uligundua lugha rasmi ya Biblia?? Maana naona leo kila mtu anasoma biblia kwa lugha yake tofauti na Quran tunaisoma dunia nzima kwa lugha ya Kiarabu, tutajie lugha ya biblia ilivyoshuka hassa ni ipi, lugha biblia ni ipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.