Recent content by IoT

  1. IoT

    Madeleka kufungua kesi ili ukweli ujulikane kama waliouawa Vingunguti ni panya road

    Wawe ni panya road au sio, kuna utawala wa sheria. Walipaswa kufikishwa kwenye vyombo vya sheria baada ya uchunguzi na sio kuuawa kikatili namna hiyo. Tusitumie hisia kujadili mambo.
  2. IoT

    Nimehangaika sana bila mafanikio

    Nisaidie kupata hayo mawasiliano. Naona PM yako imefungwa.
  3. IoT

    Mohamed Salum: Mkataba wa DP World sio wa Milele

    Miradi inaisha baada ya muda gani?
  4. IoT

    Waziri Tabia Mwita Akiwa Bungeni Jijini Dodoma

    Probably ameolewa na Mkurya.
  5. IoT

    Ushauri: Ni zaidi ya miezi miwili kila siku nikiamka natamani kuoa

    Uoga huo! Jukumu la kupenda ni la mwanaume, mwanamke anajifunza kupenda.
  6. IoT

    Mashimo akamatwe kwa uongo na kusababisha hasara

    Kumuamini huyo jamaa, yataka uwe wa sampuli yake pia.
  7. IoT

    CRDB network mbovu

    Fanya ku-update hiyo SimBanking App yko.
  8. IoT

    Msaada: App ya kutuma SMS moja Kwa watu wengi

    Add contact ya kwanza, next select contact zingine za kutosha. Halafu utaandika text yko.
  9. IoT

    Urgent: Ninahitaji ID COPY ya NIDA ,nina namba tu,mwenye kujua namna ya kupata

    Kama una account ya bank uliyofungua kwa kutumia NIN, waombe copy ya NIDA, watakupa chap.
  10. IoT

    SEREKALI amkeni! Hospitali zinazotumia Bima zinawaibia

    Suluhisho ni electronic bima
  11. IoT

    Watanzania tumekosea wapi? Nilidhani masihara kuwa gharama za vifurushi zimeendelea kupanda

    Kuna bogus mmoja yuko pale, akiulizwa atakwambia lete ushahidi. Sijui wajibu wake ni nini huyo jamaa.
  12. IoT

    Rais Samia huwa anatumia vigezo gani katika teuzi zake?

    Tuna safari ndefu kuelekea ukombozi kutoka kwenye mikono ya wanasiasa. Ndo umejibu swali/maswali ya mleta mada?
  13. IoT

    Makosa ya Hayati Magufuli hayasahihishiki

    He is no more, get used to it. Ni kama unateseka, kama alikukosea msamehe, kukaa na chuki itakutesa zaidi. Wakati huu ni kupambania katiba, piga kelele juu ya mfumko wa bei kwenye bidhaa, bila kusahau wazee wa kula kwa urefu wa kamba zao.
  14. IoT

    Nina sababu milioni 1 za kumsapoti Rais Samia Suluhu

    Unajifunza kuwa chawa, jitahidi akili iwe inachaji sasa, ili wasomi wakisoma mabandiko yako wapate kushawishika. Next time usipoteze muda wako kuandika ujinga kama huu.
Back
Top Bottom