Nyie wa kujifanya mnanyamaza ivo ndio huwa tunasoma magazetini kuwa 'amkata map**bu mumewe kwa wivu wa kimapenzi'
Au 'amnywesha mtoto wake sumu nae kuinywa baada ya kumkuta mumewe na kidosho kwny gari'
Ili uweze kujua huwa fataki linafanyaje kazi kama litaelekezwa mlalo wa kushoto/kulia ama chini..... Nunua halafu uliwashe kisha ujielekezee hata usoni au tumboni, majibu ya hapo utatuletea hapa
Alichokisema Pengo ni kwamba yeye amemsamehe Gwajima na wala hana kinyongo nae chochote kile lakini pia hawezi kuingilia hatua za kisheria zinazoendelea kuchukuliwa dhidi ya ya Gwajima
Kama ni mimi niko tayari jamaa aniambie, na sintomuwekea kinyongo zaidi ya kukaa na Kuchunguza, kamwe siwezi kumwambia wife kuwa hizi taarifa nimepewa na nani
Anaonekana kuwa ni mwanamke wa heshima zake kabisa, mume wake ni rafiki yangu tuliyeshibana sana tangu utotoni hadi sasa, huyu rafiki yangu ni mtu wa kusafiri safiri sana, Jana baada ya kutoka kwny pilika za hapa na pale nikaamua kupitia kwny club moja ambayo pia huwa kunapigwa muziki wa dansi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.