watu wanakufa ww unasema wameshinda , vita ya kipumbav kbs ambayo ilikuwa ina epukika vzr tu , wapalestina wanatumiwa kama labarotory ya Iran kuisoma Israel , dini ya waislam imejaa mazuzu , Kama Iran , Qatar , Turkey , Oman wanajali sana kuhusu wapalestina kwann wawaache wapigane pekee yao
unapotoa sare na Ethiopia unategemea utaifunga DRC ? tumia akili yako vzr , Angola anaendeleza , ubabe na hajamuotea Ghana ndio maana hata Ghana hawapigi kelele , sisi tunalip la kujidai nalo mechi zilizobakia ? Uganda kashinda jana , Drc kashinda jana dhidi ya Ethiopia
unaambiwa kakamatwa na polisi , ww bado unatuandikia ujinga wako , polisi huwa wanaongea mitaani kuwa ccmu ndo mtawala na wao wanalinda ugali so wataua yeyote yule na hamna cha kufanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.