Recent content by 3500

  1. 3

    BBC yarusha habari kuhusu wakosoaji wa Serikali wanaotekwa, kupotea au kuuawa

    Ndio maana kijana nakushauri usiweke obsession mbele. Obsession ni changamoto ya afya ya akili. Unaongelea jambo bila evidence, unaliweka akilini unalizungusha humo hadi linakuchanganya. Unajipa ru sonona mwenyewe. Kama unadhani kuna jambo kama unavyosema serikali inafanyia watu hayo maovu...
  2. 3

    BBC yarusha habari kuhusu wakosoaji wa Serikali wanaotekwa, kupotea au kuuawa

    Yaani aina ya watu kama hawa walioleta hii mada hawana shughuli za kujiingizia kipato za kujishughulisha nazo. Pili ni watu wanaojisikia hawana thamni duniani. Yaani wana low self worth. Sasa kutengeneza story kama hii yenye udanganyifu na kuona watu waki reply ndio kwake naye anajisikia ahh...
  3. 3

    BBC yarusha habari kuhusu wakosoaji wa Serikali wanaotekwa, kupotea au kuuawa

    Sasa wewe kujiita sexless huoni kwamba wewe ndio una changamoto ya afya ya akili iliyopitiliza? Katibiwe
  4. 3

    BBC yarusha habari kuhusu wakosoaji wa Serikali wanaotekwa, kupotea au kuuawa

    Mleta mada kasema kwamba kwenye hiyo taarifa eti genge limetajwa. Ukiisikiliza hiyo taarifa genge halijatajwa. Sasa hadi hapo kila mtu anajua kuwa mleta mada ana changamoto ya afya ya akili. Hawezi sema genge limetajwa wakati genge halijatajwa. Nadhani watu kama hawa huyu mleta mada maisha...
  5. 3

    BBC yarusha habari kuhusu wakosoaji wa Serikali wanaotekwa, kupotea au kuuawa

    Kuna vitu vingine huwa nashindwa kuelewa. Inawezekana watz wengi wana tatizobla changamoto ya afya ya akili. Sasa mleta habari anasema bbc imelitaja genge watu wanategemea umewaletea taarifa ukiwaweka wazi hao waliotajwa ili kila mtu awajue. Sasa wewe unachofanya kinamsaidia mtu kivipi anayesoma...
  6. 3

    Matusi mazito mitandaoni, ni matokeo ya chuki chanzo kikiwa ni uonevu, mauji, utekaji, ufisadi, ukandamizaji

    Mleta mada umeleta hiyo mada kulingana na wewe unavyodhani. Mimibnadhani chanzo cha hasira za hao watu unaowaongelea na watu wengine wenye hasi, inawezekana kuna wenye hasira kutokana na labda matukio ya hovyo yaliyowatokea ndugu zao yanayohusiana na masuala ya siasa nk lakini asilimia ya ukubwa...
  7. 3

    Natafuta mchumba asiye na uwezo wa kupata watoto

    Hata humu inawezekana kukutana
  8. 3

    Uzi huu nitakuwa nikikupa updates za Magari used yalipo sokoni

    Mwenye toyota premio old model ani pm nina sh 3.5m
  9. 3

    Uzi huu nitakuwa nikikupa updates za Magari used yalipo sokoni

    Kama una Toyota wish old model 6 seater ni PM. Nina sh 6M tumalize. Hata kama lina kaubovu kidogo
  10. 3

    Nina miti 10 ya maembe naikata kama kuni ambaye yupo interested karibu

    Hahaha sio miti ya miembe, ni miti ya malimao
  11. 3

    Nina miti 10 ya maembe naikata kama kuni ambaye yupo interested karibu

    Habari. Shambani kwangu nina miti ya maembe 10 ambayo haizai Tena nimeamua kuikata. Kwa ambaye anafanya biashara ya kuuza kuni kwa wingi anakaribishwa kuja kununua miti hii. Iko miti 10 kila mti nauza sh 20,000. Ukija utakatiwa kwa kila mti sh 5000 kama tu posho ya mkataji wangu. Ukishakata...
  12. 3

    Magari aina ya Toyota Noah mbona yanaibwa sana

    Mambo vipi. Kwa wajuvi wa mambo hebu tuelezeni mbona tukisoma taarifa nyingi za habari kuhusu wizi wa magari utakuta ni Toyota Noah zinaibea sana na zaidi hasa Kilimanjaro na pia Nairobi. Zina ni I hasa Hadi wezi waziibe sana? Pia unafanyaje ili ulinde gari lako dhidi ya wezi wa namna hii?
Back
Top Bottom