Wabandikie huu msitari nyuma ya gari lako, Mithali 25:17 Mguu wako usiingie katika nyumba ya jirani yako ila kwa kiasi; Asije akakukinai na kukuchukia.
Kumbe tuko wengi, hii hali nashindwa kuelewa hata mimi ni mtu wa kukaa mwenyewe sana tu, nikiwa na rudi nyumbani usiku huwa nahisi hivyo, kuna muda nahisi hasira sana, kukataliwa na jamii, kifupi najitahidi kuwa wa kawaida ila kuna muda ni ngumu.
Kiukweli mambo ya ndoa ni magumu, lakini lazima mkumbuke wapo baadhi yao wanafurahia ndoa. Ndoa ilianzishwa na Mungu mwenyewe, ni rehema zake tu na yeye ndie atakaye fanikisha.
1 Wakorintho 7:1-9
1 Basi kwa habari ya mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke.
2 Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.
3 Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki...
Nadhani tuanzie mstari wa juu ambao ni,
Ufunuo wa Yohana 22:11-12
11 Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa.
12 Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.