Recent content by 2ngindo

  1. 2

    Msaada wa mawazo

    Wanajf naombeni mchango wenu wa mawazo. Mimi ni mtumishi wa serikali nimefanya kazi miaka 8 nimejiendeleza na kupata shahada ya maendeleo ya jamii. Nifanyeje ili niweze kubadili idara, asanteni kwa mawazo yenu.
  2. 2

    Msaada: Namna ya kubadilisha Idara toka Ualimu

    Habari wadau wa JF. Mimi ni mtumishi wa serikali kwa miaka 8,idara ya elimu nimejiendeleza na kupata shahada ya maendeleo ya jamii.naombeni mawazo yenu hatua zipi nifuate ili niweze kubadilisha idara.
  3. 2

    zoom@Tz NIMEWAKUBALI

    Hivi kuna msimu wa kutafuta ajira eeeh upoje huo nijuze.
  4. 2

    Utapeli wa kazi umezidi

    Kwani maswali ya interview ndo yanampa mwombaji ajira!Je kama wapo 5 nafasi ni moja inakuwaje?Akili kichwani.
  5. 2

    Hodi

    Naomba kujoin the movement.
Back
Top Bottom