Wanajf naombeni mchango wenu wa mawazo. Mimi ni mtumishi wa serikali nimefanya kazi miaka 8 nimejiendeleza na kupata shahada ya maendeleo ya jamii. Nifanyeje ili niweze kubadili idara, asanteni kwa mawazo yenu.
Habari wadau wa JF. Mimi ni mtumishi wa serikali kwa miaka 8,idara ya elimu nimejiendeleza na kupata shahada ya maendeleo ya jamii.naombeni mawazo yenu hatua zipi nifuate ili niweze kubadilisha idara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.